Hili jambo linawatesa watu wengi

Hili jambo linawatesa watu wengi

July Ernest

Member
Joined
Aug 6, 2019
Posts
25
Reaction score
12
Jamani kwa wadada ambao hawajaolewa na wakaka ambao hawajaoa embu njoon tujadili kwanini hatujaoana??
 
Binti akijitunza hakosi Mme wa kumuoa! Wengi walio mitaani wameishachakachuliwa kwa kudanga!
 
Siku hizi ukitaka kuoa, usiulize majirani au marafiki; maana majibu utakayopewa unaahirisha kabisa !

Wakati mwingine kuchunguzana huleta ukakasi kwenye mahusiano ya watu wengi.
 
Hadi watakapoacha kubebeshwa zigo la misumari(mila za kizungu) lililowashinda ULAYA hadi kurasimisha ndoa za mikataba, kufuta HAKI SAWA(50%/50%) ndipo wataolewa sababu asili zetu Wanaume haziwezi kubadilika kamwe kiuwajibikaji katika ndoa hata mwisho wa dunia.
 
Back
Top Bottom