Hili jambo lipoje, kuna madhara ndani yake?

Hili jambo lipoje, kuna madhara ndani yake?

Itzmusacmb

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
1,531
Reaction score
1,134
Wakuu kunaMwanamke ana mtoto na ananyonyesha na bado mtoto bado hajaanza kutembea ila anatambaa na kunyanyukia vitu

Sasa nikitaka Kufanyanya naye tendo la ndoa anadai kwamba lazima nitumie mpira kwamaana mtoto bado ananyonya!! Sasa hapa napata maswali kichwani
, kwanza kama mama ananyonyesha hapaswi 'kufanya tendo la ngono bila Kondom"?

Pili; Kuna uhusiano gani kati ya tendo la ndoa na ziwa?

Tatu; Kuna madhara yapi kwa mama au mtoto kama ananyonyesha na nikafanya tendo la ndoa bila condom?

Nawasilisha
 
Wanaume kwa kupenda maisha ya kuigiza hatujambo na wewe hapo unajiona kidume kujigijigi na mke wa mwenzio
 
Unapozini na mke wa mwenzio tena Akiwa na mtoto mchanga. Itakuja kukugharimu maishani mwako. Mbona wasichana ambao hawana watoto wapo wengi tu.
 
Unapozini na mke wa mwenzio tena Akiwa na mtoto mchanga. Itakuja kukugharimu maishani mwako. Mbona wasichana ambao hawana watoto wapo wengi tu.
Unapozini na mke wa mwenzio tena Akiwa na mtoto mchanga. Itakuja kukugharimu maishani mwako. Mbona wasichana ambao hawana watoto wapo wengi tu.
kama ametaka mwenyewe acha agongwe tu maana labda mumewe anamuona ananuka maziwa na mkojo wa kichanga,agongwe tu!
 
Mkuu nimemdanganya wapi?
umesema ni chit chat kwa hiyo nilipokuambia unipe sayansi yake ukanijibu angeenda jf Dr,sasa mtu ameomb msaada kama hujui unanyamaza,sio kuuliza kama ndio baba wa mtoto,ina maana baba wa mtoto anaruhusiwa kukojoa ndani wa nje akikojoa ndani ni shida?shida hyo kisanyasi ni nini?
 
Unapozini na mke wa mwenzio tena Akiwa na mtoto mchanga. Itakuja kukugharimu maishani mwako. Mbona wasichana ambao hawana watoto wapo wengi tu.
Hapa tatizo ni mwanamke... mke wa mtu tena anayenyonyesha, kukubali kutafunwa na mhuni kama huyu mleta mada, ni umalaya uliopitiliza. Iwe kwa kutumia kondom ama kwa kutotumia.

Hili sidhani kama linahitaji waraka wa Bonny wala mpambe wake Numbisa.

Hivi nyie wanawake mbona mnatuwia vigumu hivi kuwaelewa???
 
Kwa hiyo unamdanganya kwa vile ni chit chat?Dont say something you don't know!!
Chitchat is all about saying anything...

Uwe unakijua au hukijui... hili ni jukwaa la kubwatuka tu.
 
Wanaweke wengi wapojifungua, siku zao hubadilika hata kupelekea mwanamke kutotambua vizuri siku za hatare, kwahiyo kwa kumuweka mtoto mchanga ktk mazingira salama mama anaona bora utumie Condom ili kuepusha mimba nyingine ambayo itaharibu system nzima ya kumnyonyesha mtoto. Hii haimaanishi kwamba baba anaweza kumtafuna bina Condom.
 
Back
Top Bottom