Mtatengenezewa shepu ya sufuria au beseni. Lakini wewe sio beki tatu Preta, u r kidding. Au unawasemea kama mbunge wao? Maana siku hizi kila kundi linadai liwe na mbunge wake. Me nimeshaanza kuhamasisha vinyozi wenzangu, tudai mbungewetu kwenye uchaguzi wa 2015.