Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Hawa wapemba bwana na migahawa yao. Nimeagiza msosi kwa mpemba mmoja hapa town. Mletaji ameleta msosi na akawa hajaweka samaki.
Nikamuita mara ya pili kumkumbusha kuwa niliagiza na samaki. Akasema anakumbuka. Anakuja.
Kweli baada ya dakika akawa anakuja amemshika samaki mkononi. Nlichukia sana. Nikamuuliza kwanini anakuja amemshika samaki mkononi.
Akawa mkali na kujibu " unafoka nini sasa? We ulitaka nimdondoshe tena kama mara ya kwanza?"
Nikamuita mara ya pili kumkumbusha kuwa niliagiza na samaki. Akasema anakumbuka. Anakuja.
Kweli baada ya dakika akawa anakuja amemshika samaki mkononi. Nlichukia sana. Nikamuuliza kwanini anakuja amemshika samaki mkononi.
Akawa mkali na kujibu " unafoka nini sasa? We ulitaka nimdondoshe tena kama mara ya kwanza?"