Hili jina lilishaingiliwaga na pepo la ngono tokea enzi na enzi.

RACHEL(Recho), popote utakapopita ukiskia dada anaitwa we recho geuka umwangalie nakwambia hautojuta kugeuza shingo yako wanakuaga wazuri ni balaa hata kama sio uzuri wa sura basi kuna mvuto flani wa mapenzi atakuanao piga ua na wala sio wa choyo..
Some how, coz hata mtaan kwetu yupo, japo hana sura ila anatisha kwa skendo zake
 
Kama wewe ni bingwa wa kufuatilia majina ya watu hebu wafuatilie hawa akina VERONICA.
Hapa napa na mimi nataka kujua.. ila kwa jinsi ninavyowaona ni..

Watu wa viwanja sana,. Wanapenda sana kubang..

Wengi ni warefu na wengi wao wembamba wanapenda urembo/umodo/umiss

Wanakuwaga wazuri wa sura/reception ama figa..

Wanapenda sana ofa..

Wamechangamka sana.. maneno mengi na mipasho/umbea.

Watu wa kuchukulia vitu easy..

Wana ubishi ndani yao na ukikwaruzana naye ana maneno mengi kwasababu ya kuzidiwa na mdomo.. mdomo unachukua nafasi kubwa ya maungo yao..

Mwenye uelewa zaidi afunguke ..
 
Namkumbuka RACHEL wangu napenda kusema miss Tanzania is overrated , kuna toto ziko mtaa , zimechongwa kwa ustaadi yaani mtoto ng'ombe 100 na chenchi hairudi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…