Hili jina lilishaingiliwaga na pepo la ngono tokea enzi na enzi.

Ila Jacob hakuwa wa mchezo aisee!
Kuna wakati namuwazia bila kupata majibu.
Miaka 7 + 7 = tena hapo hakuwahi hata kumla kabla ya ndoa!

Only God knows
Alitumikia miaka 7 ya pili lakini akiwa anaishi naye baada ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia alikaa na yule siku 7 kisha akapewa Raheli kwahiyo alikuwa anatumikia miaka 7 huku anaishi naye
 
Pia japokuwa tunawatafsiri akina Raheli vibaya ila hawachelewi kuolewa na hugombaniwa sana na vidume.
Ndiyo wanaoolewa kwanza, wale wasiotulia ndiyo huolewa na wanaume wamaana kuzidi[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
 
Ndiyo wanaoolewa kwanza, wale wasiotulia ndiyo huolewa na wanaume wamaana kuzidi[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
viruka njia ndo wanaijua michezoo na hawana aibu, wananyonya bomba hatarii
 
Tena Biblia inasema Rachel(Raheli) alikuwa mzuri sana na mwenye macho ya kuvutia na umbo zuri sana kiasi Jacob akapagawa kwa uzuri wa Rachel, tena hakuwa mzuri tu bali alikuwa "bikira" pia, soma MWANZO 29:17-18

Huyu Raheli wa Jacob itakuwa alikuwa mrembo haswaaa. Miaka 14, si mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…