Jonogomero Member Joined Feb 8, 2012 Posts 99 Reaction score 27 Mar 1, 2012 #1 Leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha leo tena cloudz, hoja ilikuwa kwa nn wazazi wanapenda kuita watoto zao mbwa! Mbaya zaidi kibongo bongo kila mtu labda ameshawahi kuitwa mbwa na mzazi. Je ni haki kumuita mtoto mbwa?
Leo nilikuwa nasikiliza kipindi cha leo tena cloudz, hoja ilikuwa kwa nn wazazi wanapenda kuita watoto zao mbwa! Mbaya zaidi kibongo bongo kila mtu labda ameshawahi kuitwa mbwa na mzazi. Je ni haki kumuita mtoto mbwa?
Erickb52 JF-Expert Member Joined Oct 31, 2010 Posts 18,534 Reaction score 11,449 Mar 1, 2012 #2 Hapo hakuna malezi...hawamjui Mungu ndo maana wanatumia maneno yasiyo na upako....
Mtalingolo JF-Expert Member Joined Aug 4, 2011 Posts 2,181 Reaction score 410 Mar 1, 2012 #3 Sio haki kuitwa mbwa, na unaeza kumshtaki huyo aliekuita hvo hata kama ni mzazi wako...