Hili kuhusu UKIMWI

slmmfm

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
304
Reaction score
65
Ni muda gan tokea kuambukizwa virus vya ukimwi mgonjwa anaweza kupimwa na kugundurika???
 
Nafikiri ni baada ya miezi 3. Jambo la kuzingatia ni kuacha zinaa kwani zinaa ni mbaya inaua kipole pole
 
Ni muda gan tokea kuambukizwa virus vya ukimwi mgonjwa anaweza kupimwa na kugundurika???

kuna vitoto vinazaliwa nao mpaka vinabalehe bado vina nguvu, ukimwi haupimwi kwa macho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…