Hili la Biashara kupewa 10M kama motisha baada ya kutoa sare kuna ukweli?

Hili la Biashara kupewa 10M kama motisha baada ya kutoa sare kuna ukweli?

Mbobo

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2017
Posts
1,392
Reaction score
1,818
πŠπ”π“πŽπŠπ€ πŠπ–π€ 𝐃𝐀𝐃𝐀 π‹π˜π‹π˜ π‹πˆπ‹πˆπ€ππ„

[emoji404]Kwa akili ya haraka haraka tu!! Team imeshinda mechi mbili za kimataifa na kufuzu hatua inayofuata lkn hawakupewa hata senti kumi ya MOTISHA!!!

[emoji404]Ndo waje wapewe MOTISHA milioni 10 kwenye league tena mechi waliotoka sare!!!

[emoji404]Biashara United wametoa wapi hiyo hela!! Kwa nn wasingewapa wachezaji motisha kwa kushinda mechi za kimataifa waje wapewe kwenye league!!

[emoji404]Team almanusura ishindwe kusafiri kwenda Djibouti [emoji1089] kwa ajili ya mechi sababu ya UKATA na kuja kufanikiwa kusafiri siku ya mechi baada ya kuhangaika sana!!!

[emoji404]Leo hii et anatoka mtu anasema anatoa MOTISHA million 10!! Alikuwa wapi hapo awali!!

[emoji404]Na bado michezo yote Simba SC Tanzania watakayocheza ya TPL basi timu pinzani watapata Bonus Endapo watabahatika kupata Sare... au kushinda.... hii ishaeleweka na nawajuza tu mashabiki ambao mulikuwa hamujui...

[emoji404]Simba wapo ktk vita nzito ili kutetea ubingwa wake na wanatakiwa kuelewa ivyo... na sina shaka na uongozi wa Simba chini ya Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Try Again nadhani washalijua hilo......

kwenu studio[emoji2223][emoji2223][emoji2089]
#Dibahvansports

copy and paste
 
Bongo mpira ni wa simba na yanga tu.

Hao biashara mpaka watwae kombe la caf champions league ndio watu wataanza kuwashabikia

Nigeria mpira ulikuwa wa timu mbili tu enugu rangers na heartland fc.

Enyimba alivyotwaa caf champions league ndio wakaanza mfatilia..
 
πŠπ”π“πŽπŠπ€ πŠπ–π€ 𝐃𝐀𝐃𝐀 π‹π˜π‹π˜ π‹πˆπ‹πˆπ€ππ„

[emoji404]Kwa akili ya haraka haraka tu!! Team imeshinda mechi mbili za kimataifa na kufuzu hatua inayofuata lkn hawakupewa hata senti kumi ya MOTISHA!!!

[emoji404]Ndo waje wapewe MOTISHA milioni 10 kwenye league tena mechi waliotoka sare!!!

[emoji404]Biashara United wametoa wapi hiyo hela!! Kwa nn wasingewapa wachezaji motisha kwa kushinda mechi za kimataifa waje wapewe kwenye league!!

[emoji404]Team almanusura ishindwe kusafiri kwenda Djibouti [emoji1089] kwa ajili ya mechi sababu ya UKATA na kuja kufanikiwa kusafiri siku ya mechi baada ya kuhangaika sana!!!

[emoji404]Leo hii et anatoka mtu anasema anatoa MOTISHA million 10!! Alikuwa wapi hapo awali!!

[emoji404]Na bado michezo yote Simba SC Tanzania watakayocheza ya TPL basi timu pinzani watapata Bonus Endapo watabahatika kupata Sare... au kushinda.... hii ishaeleweka na nawajuza tu mashabiki ambao mulikuwa hamujui...

[emoji404]Simba wapo ktk vita nzito ili kutetea ubingwa wake na wanatakiwa kuelewa ivyo... na sina shaka na uongozi wa Simba chini ya Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Try Again nadhani washalijua hilo......

kwenu studio[emoji2223][emoji2223][emoji2089]
#Dibahvansports

copy and paste
Msimu uliopita msemaji wa Azam alilamikia kitendo cha Simba kuishinikiza Azam wapambane na wasikubali kwa namna yoyote kufungwa na Yanga.
 
Simba msimu huu tuna kazinya ziada ili tuweze kuchukua ubingwa, Kila tunayecheza naye ligi kuu ameahidiwa PESA [emoji3][emoji3].

Biashara waliahidiwa Mil. 15 wakitufunga na Mil. 10 wakitoa sare.

Leo Dodoma Jiji Fc ameahidiwa vivyo hivyo kama Biashara
Kazi tunayo msimu huu.

Ila nahisi nyuma ya pazia kuna kundi fulani la watu ambao wanataka kurudisha imani kwa mashabiki wao ambao hawajaambulia ubingwa kwa misimu minne mfululizo.

But inshaallah msimu huu ubingwa wetu.
 
Sisi Masikini Tunaanza Kuwapangia Wenye Pesa Zao Namna Sahihi Ya Kuzitoa.
 
Mwambieni "Mwamedi" nae awape pesa wachezaji wake. Yani watu watafute pesa kwa jasho lao, alafu uwapangie matumizi?
 
Ama kweli maisha yanaenda kasi leo simba ndio was kulalamika hivi kuhujumiwa ?


Wakati timu ilikuwa inafunga mabao mpaka dakika ya 99 na kupata shindi wa mashaka
 
Simba msimu huu tuna kazinya ziada ili tuweze kuchukua ubingwa, Kila tunayecheza naye ligi kuu ameahidiwa PESA [emoji3][emoji3].

Biashara waliahidiwa Mil. 15 wakitufunga na Mil. 10 wakitoa sare.

Leo Dodoma Jiji Fc ameahidiwa vivyo hivyo kama Biashara
Kazi tunayo msimu huu.

Ila nahisi nyuma ya pazia kuna kundi fulani la watu ambao wanataka kurudisha imani kwa mashabiki wao ambao hawajaambulia ubingwa kwa misimu minne mfululizo.

But inshaallah msimu huu ubingwa wetu.
Nyuma ya pazia ni hivyo na sio kosa Kama ambavyo aikuwa kosa kwa makonda kipindi kile kuwapa bonus simba
 
Mimi ni shabiki wa Simba, ila sioni kosa lolote kwa timu yoyote kuahidiwa kiasi chochote cha pesa ili iifunge timu yoyote.

Kosa ni pale tu ambapo timu moja inaahidiwa pesa ili iiachie (isiifunge) timu fulani.
 
Simba msimu huu tuna kazinya ziada ili tuweze kuchukua ubingwa, Kila tunayecheza naye ligi kuu ameahidiwa PESA [emoji3][emoji3].

Biashara waliahidiwa Mil. 15 wakitufunga na Mil. 10 wakitoa sare.

Leo Dodoma Jiji Fc ameahidiwa vivyo hivyo kama Biashara
Kazi tunayo msimu huu.

Ila nahisi nyuma ya pazia kuna kundi fulani la watu ambao wanataka kurudisha imani kwa mashabiki wao ambao hawajaambulia ubingwa kwa misimu minne mfululizo.

But inshaallah msimu huu ubingwa wetu.
na nyinyi ahidini ELA kwan tabu iko wapi
mpira pesa ndiyo
 
Yanga kupitia watu maarufu kila mkoa ambapo kuna timu za ligi kuu wanawapa pesa hao viongozi na kujifanya wazalendo wa hizo timu zao ktk hayo maeneo wanayo ongoza

Leo pale Dodoma kupitia kwa Anthony Mavunde huyu ni mnazi Yanga kufa na MB. wa Dodoma mjini lazima kuna ahadi kawapa timu ya jimbo lake kama ikishinda mchezo huu

Yanga wametenga bajeti ya Tsh 250,000,000/= katika mzunguko wa kwanza wa ligi kwa ajili ya kuzipa timu zitakazo isimamisha simba kupitia kwa viongozi hao
 
Kundi lilipo nyuma ya hizi njama ni wale wakina David Mosha na Abdallah bin Kleib wa ile kamati iliyoundwa juzi kati, wapo kazini kimyakimya

Ally hapi hana uwezo wa kuahidi milioni 10 kwa ajili ya draw tu na 15 kwa ushindi

Na leo ikitokea Dodoma Jiji wakapata hata sare utajionea kwa mbunge wake wa jimbo hilo akitekeleza ahadi yake
 
Kundi lilipo nyuma ya hizi njama ni wale wakina David Mosha na Abdallah bin Kleib wa ile kamati iliyoundwa juzi kati, wapo kazini kimyakimya

Ally hapi hana uwezo wa kuahidi milioni 10 kwa ajili ya draw tu na 15 kwa ushindi

Na leo ikitokea Dodoma Jiji wakapata hata sare utajionea kwa mbunge wake wa jimbo hilo akitekeleza ahadi yake
Nyie mmezuiwa kutoa, mbona iyo ndo ilikuwa michezo yenu kwa misimu 4 mfululizo, Kama dau lenu limekata basi mkae kimya ni utawala wa yanga sasa kila zama na kitabu chake msianze kulia lia apa, kipindi kile mlikuwa kimya mnakenua sasa mambo yanawageukia mnaanza kubwata
 
Nyie mmezuiwa kutoa, mbona iyo ndo ilikuwa michezo yenu kwa misimu 4 mfululizo, Kama dau lenu limekata basi mkae kimya ni utawala wa yanga sasa kila zama na kitabu chake msianze kulia lia apa, kipindi kile mlikuwa kimya mnakenua sasa mambo yanawageukia mnaanza kubwata
Utawala wa yanga upi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa timu ipi..? Na mipango ipi..?
 
Kwani na ww una timu ipi?, na mipango ipi?
Sawa muda utaongea mkuu tujipe muda kidogo tu. Tutakuja hapa kupashana tena kuwa oya vipo huko uto ubingwa unabebeka au malalamiko.kama kawaida..?
 
Yanga kupitia watu maarufu kila mkoa ambapo kuna timu za ligi kuu wanawapa pesa hao viongozi na kujifanya wazalendo wa hizo timu zao ktk hayo maeneo wanayo ongoza

Leo pale Dodoma kupitia kwa Anthony Mavunde huyu ni mnazi Yanga kufa na MB. wa Dodoma mjini lazima kuna ahadi kawapa timu ya jimbo lake kama ikishinda mchezo huu

Yanga wametenga bajeti ya Tsh 250,000,000/= katika mzunguko wa kwanza wa ligi kwa ajili ya kuzipa timu zitakazo isimamisha simba kupitia kwa viongozi hao
Kwani Kuna shida gani wakifanya hivyo?
 
Sawa muda utaongea mkuu tujipe muda kidogo tu. Tutakuja hapa kupashana tena kuwa oya vipo huko uto ubingwa unabebeka au malalamiko.kama kawaida..?
Yaaa muda ni mwalimu zuri ila kama una timu ya kuongelea ila kwasababu ww hauna timu pale basi hauna haja ya kusema ujipe muda

Ww huu msimu fanya ku cancel
 
Back
Top Bottom