Hili la Hajji kumpora mchumba producer Yogo lipoje?

Hili la Hajji kumpora mchumba producer Yogo lipoje?

Peramiho yetu

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2018
Posts
5,303
Reaction score
14,983
Wanasema utanyimwa kula ila siyo umbeya

Haya dada mwenye habari zake mjin cocastic njoo utupe habar kamili juu ya hili?

Kupitia kipnd Cha leo Tena segment ya zilizokiki nimemsikia Jose mara (clouds fm) akisema producer yogo ambaye ametengeneza ep ya Ali kiba amehujumiwa na bwana Hajj manara kwa kumpora mpenz wake ambaye wamezaa mtoto mmoja na walikuwa katka utaratibu wa kufunga ndoa

Kwakuwa mm nipo litapwasi huku songea Sina info zozote naomba wakuu mlidadavue hili

Huyu mke mpya wa manara RUSHAINA amedanganyika vip nasikia bwana producer hana furaha beat hatengenez Kaz za watu zimekaa tu ofisn sababu ya mawazo
 
Anaporwa mke sio mchumba Angekufa muoaji asingemzalisha na kumuacha alitaka atengeneze singo mama wamchambe,aheri Haji kamstiri
Afu yogo aache unaa hakua muoaji Ruhayna kakimbia vipigo bwanaaa mwanamke anapigwa na Hela sio ngumiii!!!
 
Wanasema utanyimwa kula ila siyo umbeya

Haya dada mwenye habari zake mjin cocastic njoo utupe habar kamili juu ya hili?

Kupitia kipnd Cha leo Tena segment ya zilizokiki nimemsikia Jose mara (clouds fm) akisema producer yogo ambaye ametengeneza ep ya Ali kiba amehujumiwa na bwana Hajj manara kwa kumpora mpenz wake ambaye wamezaa mtoto mmoja na walikuwa katka utaratibu wa kufunga ndoa

Kwakuwa mm nipo litapwasi huku songea Sina info zozote naomba wakuu mlidadavue hili

Huyu mke mpya wa manara RUSHAINA amedanganyika vip nasikia bwana producer hana furaha beat hatengenez Kaz za watu zimekaa tu ofisn sababu ya mawazo
Hajampora mtu hakuwa mke wake kama kuzaa naye wanawake wangapi tumewazalisha hatujawaoa bwana kama alikuwa ana nia angeshamuoa kitambo.
Manara kanyaga twende
 
Mtoto mkali kama huyo ni kama nyama choma kwa wamasai, mwenye kisu kikali ndie ataejikatia nyama kwa urahisi.

Haji anaweza muhonga milioni 2 kumtoa shopping tu ya nguo maana pesa zipo za kuwa balozi wa makampuni makubwa.

kwa ma producer siku hizi hii kazi ina ushindani sana na hata bei za kurekodi zimeshuka, hapo unakuta prodycer akijipinda anahonga laki 3,,
 
Inasemekana jamaa kwenye ubalozi anavuta zaidi ya 40m+ kila mwezi. Kwa hiyo Manara anahela balaa zisizo na kazi.




Ila mwamba "anafaidi" mwarabu mweye shepu. Ila lazima dada awe anapiga revision kisirisiri na yogo
 
qacha ujinga weweeee, mchumba hana mwenyewee, mkee/ mmee tuu ndiyo wana wenyewee
 
Hivi manara mhhh hivi mhhh hebu kwanza niache
 
Back
Top Bottom