Hili la Jaji Mkuu Zanzibar, ufafanuzi tafadhali

Hili la Jaji Mkuu Zanzibar, ufafanuzi tafadhali

mavumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2013
Posts
596
Reaction score
328
Jaji Mkuu aliteleza ? Wakati wa uzinduzi wa jengo la Mahakama ya mashauri kuhusu unyanyaswaji wa watoto huko Mahonda - Zanzibar jana ulioongozwa na Rais wa Zanzibat Bw Mohamed Shein, Jaji Mkuu alitoa maelezo yafuatayo:
Kwamba "jengo hili la kisasa limejengwa kwa muundo utakao watenganisha walalamikaji na washtakiwa, na akasema kwa muundio huu, mlalamikiwa ataweza kumwona mtoto (ambaye ni mlalamikaji), lakini mtoto (mlalamikaji) hatawexa kumwona mlalmikiwa."
Bila shaka kwa utaratbu huu kuna maelezo yenye tafsiri tofauti yakiwemo usalama, na athari za kisaikoljia.
Hata hivyo katika mazingira ya kawaida kwa baadhi ya watu (pasipo ufafanuzi wa kisheria) dhana hii inajenga hisia kwamba mbadala wake ndio utakuwa muafaka zaidi, yaani mlalamikaji amwone mstakiwa, ila mlalamikiwa asimwone mlalamikaji, au Jaji Mkuu Zanzibar aliteleza katika hili?
 
Jaji Mkuu aliteleza ? Wakati wa uzinduzi wa jengo la Mahakama ya mashauri kuhusu unyanyaswaji wa watoto huko Mahonda - Zanzibar jana ulioongozwa na Rais wa Zanzibat Bw Mohamed Shein, Jaji Mkuu alitoa maelezo yafuatayo:
Kwamba "jengo hili la kisasa limejengwa kwa muundo utakao watenganisha walalamikaji na washtakiwa, na akasema kwa muundio huu, mlalamikiwa ataweza kumwona mtoto (ambaye ni mlalamikaji), lakini mtoto (mlalamikaji) hatawexa kumwona mlalmikiwa."
Bila shaka kwa utaratbu huu kuna maelezo yenye tafsiri tofauti yakiwemo usalama, na athari za kisaikoljia.
Hata hivyo katika mazingira ya kawaida kwa baadhi ya watu (pasipo ufafanuzi wa kisheria) dhana hii inajenga hisia kwamba mbadala wake ndio utakuwa muafaka zaidi, yaani mlalamikaji amwone mstakiwa, ila mlalamikiwa asimwone mlalamikaji, au Jaji Mkuu Zanzibar aliteleza katika hili?

Mmmmh...nadhani pointi unayo...ngoja tuwasikie wansheria
 
unashangaa nini? wee huwajui wazenji? mambo yao yako kushoto kushoto sana.
 
unashangaa nini? wee huwajui wazenji? mambo yao yako kushoto kushoto sana.
Inaelekea umejenga mtazamo wenye kuwaona Wazenj kama watu wa ajabu sana! Ni katika hili lililoulizwa hapa tuu au pamoja na mengine?
 
Inaelekea umejenga mtazamo wenye kuwaona Wazenj kama watu wa ajabu sana! Ni katika hili lililoulizwa hapa tuu au pamoja na mengine?
Kwani we waonaje? ushaenda zenj weye?
 
Kwani we waonaje? ushaenda zenj weye?
Kiongozi, nimeishi huko Zenj miaka kadhaa, na tabia zao nazifahamu vizuri tu. Kinachonipa shida ni huo utaratibu aliousema Jaji Mkuu .....nashindwa kuelewa usahihi wa suala hili ukoje. Hata hivyo kama maelezo ya Jaji Mkuu sio sahihi, ndio kusema limefanywa hivyo kwa kuwa Wazenj ndivyo walivyo?
 
unashangaa nini? wee huwajui wazenji? mambo yao yako kushoto kushoto sana.
we utakuwa na tahira ya ubongo sio bure...zenji walikuombaga kitu gani toka mwilini mwako mpk uongee hizo pumba?
 
Kiongozi, nimeishi huko Zenj miaka kadhaa, na tabia zao nazifahamu vizuri tu. Kinachonipa shida ni huo utaratibu aliousema Jaji Mkuu .....nashindwa kuelewa usahihi wa suala hili ukoje. Hata hivyo kama maelezo ya Jaji Mkuu sio sahihi, ndio kusema limefanywa hivyo kwa kuwa Wazenj ndivyo walivyo?
Sasa hapo mwisho ndo maji
 
Back
Top Bottom