Hili la Joel ( Joe ) na Kujirusha Kwake hadi Kufa Ghorofa la DERM Makumbusho linaanza kunipa Mashaka Kifikra na Kimtizamo

Hili la Joel ( Joe ) na Kujirusha Kwake hadi Kufa Ghorofa la DERM Makumbusho linaanza kunipa Mashaka Kifikra na Kimtizamo

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kauli ya Mlinzi kuwa Marehemu Joe alimwomba aende Msikitini Kuswali imenichanganya. Hivi kumbe akina Joel ( Joe ) huwa ni Waislamu?

Kauli ya Mkewe kuwa Mumewe aliwahi kumwambia anataka Kuongeza Mke wa Pili na akamkatalia ndipo Mzozo ulipoanza ndiyo imenichanganya zaidi. Hivi kumbe Siku hizi Wakristo nao wanaruhusiwa Kuoa Wake Wawili na kuendelea Kama Waislamu?

Kuna moja hiyo ya ndani kabisa nimeisikia / nimeinyaka kutoka kwa Mmoja wa Watu wa Karibu ila ngoja nibaki nayo tu Moyoni huku nikimtakia Marehemu Joel ( Joe ) alale mahala pema Peponi.

Yanga SC inashinda Jumapili tarehe 28 May, 2023 na hata Mechi yake ya marudiano Jumamosi ijayo ya tarehe 3 June, 2023 pia Watashinda na kuwa Mabingwa wapya na kwa mara ya Kwanza kwa Tanzania katika Kombe la CAFCC.

Watu wakilitaka lao linakuwa tu Oky?
 
Sioni hoja ya msingi kwa hayo unayosema yanakupa mashaka kifikra na kimtizamo, kwa mtizamo wako unategemea mlinzi anafahamu jina na dini ya Kila aliyepo hapo? Kumbuka siku hizi walinzi wengi ni wa kampuni na wanabadilishwa kila siku, tufanye alimfahamu jina, je jina la mtu lina uhusiano na dini?

Kuhusu kuoa mke wa pili nalo nashindwa kuelewa kipi ni tatizo kwako! Kwani hakuna wakristo wenye wake zaidi ya mmoja? Ni kweli dini yao hairuhusu lakini hayo huwa ni maamuzi ya Mtu binafsi.
 
Kauli ya Mlinzi kuwa Marehemu Joe alimwomba aende Msikitini Kuswali imenichanganya. Hivi kumbe akina Joel ( Joe ) huwa ni Waislamu?

Kauli ya Mkewe kuwa Mumewe aliwahi kumwambia anataka Kuongeza Mke wa Pili na akamkatalia ndipo Mzozo ulipoanza ndiyo imenichanganya zaidi. Hivi kumbe Siku hizi Wakristo nao wanaruhusiwa Kuoa Wake Wawili na kuendelea Kama Waislamu?

Kuna moja hiyo ya ndani kabisa nimeisikia / nimeinyaka kutoka kwa Mmoja wa Watu wa Karibu ila ngoja nibaki nayo tu Moyoni huku nikimtakia Marehemu Joel ( Joe ) alale mahala pema Peponi.

Yanga SC inashinda Jumapili tarehe 28 May, 2023 na hata Mechi yake ya marudiano Jumamosi ijayo ya tarehe 3 June, 2023 pia Watashinda na kuwa Mabingwa wapya na kwa mara ya Kwanza kwa Tanzania katika Kombe la CAFCC.

Watu wakilitaka lao linakuwa tu Oky?
Uliisoma kauli ya polisi kupitia kamanda Muliro? Wanasema marehemu alinaswa na kamera za CCTV akidhamiria kujirusha. Siku hizi kamera zinaweza kusoma dhamira ya mtu....
Screenshot_20230524_170026_WhatsAppBusiness.jpg

Nalewa bila kunywa
 
Kauli ya Mlinzi kuwa Marehemu Joe alimwomba aende Msikitini Kuswali imenichanganya. Hivi kumbe akina Joel ( Joe ) huwa ni Waislamu?

Kauli ya Mkewe kuwa Mumewe aliwahi kumwambia anataka Kuongeza Mke wa Pili na akamkatalia ndipo Mzozo ulipoanza ndiyo imenichanganya zaidi. Hivi kumbe Siku hizi Wakristo nao wanaruhusiwa Kuoa Wake Wawili na kuendelea Kama Waislamu?

Kuna moja hiyo ya ndani kabisa nimeisikia / nimeinyaka kutoka kwa Mmoja wa Watu wa Karibu ila ngoja nibaki nayo tu Moyoni huku nikimtakia Marehemu Joel ( Joe ) alale mahala pema Peponi.

Yanga SC inashinda Jumapili tarehe 28 May, 2023 na hata Mechi yake ya marudiano Jumamosi ijayo ya tarehe 3 June, 2023 pia Watashinda na kuwa Mabingwa wapya na kwa mara ya Kwanza kwa Tanzania katika Kombe la CAFCC.

Watu wakilitaka lao linakuwa tu Oky?
Ulikua na ulazima gani kuandika ka unampango wa kutunza la rohoni??
 
Joel ameoa mwaka 2014
Hadi May 2023 alikua hawa mtoto na huyo mke wake

Inasemekana Joel alikua anahisi mkewe ndio mwenye matatizo

Hivyo akataka kuongeza mke
 
Jina lake la mwisho/ukoo aliitwa CHIZI

Hapo sina laziada mitazamo mingi ipo kwako popoma...

Na hizo za ndani ni zipi funguka reporter wetu mahiri na mwenye makeke yake yakinifu kwenye uchambuzi....
 
Kauli ya Mlinzi kuwa Marehemu Joe alimwomba aende Msikitini Kuswali imenichanganya. Hivi kumbe akina Joel ( Joe ) huwa ni Waislamu?

Kauli ya Mkewe kuwa Mumewe aliwahi kumwambia anataka Kuongeza Mke wa Pili na akamkatalia ndipo Mzozo ulipoanza ndiyo imenichanganya zaidi. Hivi kumbe Siku hizi Wakristo nao wanaruhusiwa Kuoa Wake Wawili na kuendelea Kama Waislamu?

Kuna moja hiyo ya ndani kabisa nimeisikia / nimeinyaka kutoka kwa Mmoja wa Watu wa Karibu ila ngoja nibaki nayo tu Moyoni huku nikimtakia Marehemu Joel ( Joe ) alale mahala pema Peponi.

Yanga SC inashinda Jumapili tarehe 28 May, 2023 na hata Mechi yake ya marudiano Jumamosi ijayo ya tarehe 3 June, 2023 pia Watashinda na kuwa Mabingwa wapya na kwa mara ya Kwanza kwa Tanzania katika Kombe la CAFCC.

Watu wakilitaka lao linakuwa tu Oky?
Hilo la Joel analijua yeye mwenyewe huko alipo ila suala la Yanga kushinda Jumapili ni ndoto tu.
 
Joel ameoa mwaka 2014
Hadi May 2023 alikua hawa mtoto na huyo mke wake

Inasemekana Joel alikua anahisi mkewe ndio mwenye matatizo

Hivyo akataka kuongeza mke
Mbna kwenye mazishi kuna shada LA maua limeandikwa "SON" na liliwekwa kaburini.
 
Sasa mlinzi angejulia wapi kama anaitwa Joel? Hilo jina lake tumelijua baadaye baada ya tukio. Pengine hata alidanganya anaitwa Rashid. Mbona unafikiri pafipi sana gentamycin?
 
Hizi ndio za ndoano zitavua wengi sana. Haswaa wanaume. Ni umakini unaotakiwa.
 
Kauli ya Mlinzi kuwa Marehemu Joe alimwomba aende Msikitini Kuswali imenichanganya. Hivi kumbe akina Joel ( Joe ) huwa ni Waislamu?

Kauli ya Mkewe kuwa Mumewe aliwahi kumwambia anataka Kuongeza Mke wa Pili na akamkatalia ndipo Mzozo ulipoanza ndiyo imenichanganya zaidi. Hivi kumbe Siku hizi Wakristo nao wanaruhusiwa Kuoa Wake Wawili na kuendelea Kama Waislamu?

Kuna moja hiyo ya ndani kabisa nimeisikia / nimeinyaka kutoka kwa Mmoja wa Watu wa Karibu ila ngoja nibaki nayo tu Moyoni huku nikimtakia Marehemu Joel ( Joe ) alale mahala pema Peponi.

Yanga SC inashinda Jumapili tarehe 28 May, 2023 na hata Mechi yake ya marudiano Jumamosi ijayo ya tarehe 3 June, 2023 pia Watashinda na kuwa Mabingwa wapya na kwa mara ya Kwanza kwa Tanzania katika Kombe la CAFCC.

Watu wakilitaka lao linakuwa tu Oky?
1685179142159.png
 
Kauli ya Mlinzi kuwa Marehemu Joe alimwomba aende Msikitini Kuswali imenichanganya. Hivi kumbe akina Joel ( Joe ) huwa ni Waislamu?

Kauli ya Mkewe kuwa Mumewe aliwahi kumwambia anataka Kuongeza Mke wa Pili na akamkatalia ndipo Mzozo ulipoanza ndiyo imenichanganya zaidi. Hivi kumbe Siku hizi Wakristo nao wanaruhusiwa Kuoa Wake Wawili na kuendelea Kama Waislamu?

Kuna moja hiyo ya ndani kabisa nimeisikia / nimeinyaka kutoka kwa Mmoja wa Watu wa Karibu ila ngoja nibaki nayo tu Moyoni huku nikimtakia Marehemu Joel ( Joe ) alale mahala pema Peponi.

Yanga SC inashinda Jumapili tarehe 28 May, 2023 na hata Mechi yake ya marudiano Jumamosi ijayo ya tarehe 3 June, 2023 pia Watashinda na kuwa Mabingwa wapya na kwa mara ya Kwanza kwa Tanzania katika Kombe la CAFCC.

Watu wakilitaka lao linakuwa tu Oky?
maswali ya hovyo hayo, alikuambia nani kuwa mlinzi alimwuliza jina? Tumeambiwa marehemu alikuwa amekaa miaka 9 ndani ya ndoa bila mtoto, pengine ndiyo sababu ya kutaka kuoa mke wa pili
 
Kuna moja hiyo ya ndani kabisa nimeisikia / nimeinyaka kutoka kwa Mmoja wa Watu wa Karibu ila ngoja nibaki nayo tu Moyoni huku nikimtakia Marehemu Joel ( Joe ) alale mahala pema Peponi.

Labda mambo ya kibailojia ukizingatia alikuwa anatumia madawa ya pressure(Kupooza) ,pia alikuwa hana mtoto! Maybe .............. ,Maybe................ ,Maybe...............................
 
Back
Top Bottom