Hili la Kujaziwa Laki Nane kwa kila Mteja wa Voda M-Pesa Limekaaje??

Hili la Kujaziwa Laki Nane kwa kila Mteja wa Voda M-Pesa Limekaaje??

Ngaliba Dume

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2010
Posts
1,710
Reaction score
3,681
Jana majira ya jioni nilitaka kutoa Kiasi cha Pesa kwa njia ya M-pesa,katika kuangalia salio nikakuta ongezeko la laki nane ktk kiasi kilichokuwepo!Nilijaribu kukitoa lakini hazitoki...nimefanya uchunguzi kidogo kwa watu wangu wa karibu kama 10 nimebaini kuwa na wao wameongezewa kiasi hicho!Je wenye kujua hili watwambie?na kwanini hazitoki?je yawezekana kuna mtu ameamua kuingia ubia na Voda kwa kutunza pesa kwa njia ya akaunti za wateja?Mteja ni Mfalme,Voda wanawajibika kutujuza....(wengine kidogo watie heshma cr wakidhani zali la mentari)
 
Kwangu mimi hazipo, kiasi nilichokuwa nazo ni hicho hicho tu
 
Hata me nimelishuhudia lkn ukipiga *150*55# ndo naziona lkn hazitoki sijui imekaaje hii!
 
Back
Top Bottom