Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyo Waziri Mkuu yuko Chama gani ?Hili suala mikopo Kwa vikundi halmashauri si zilisitishwa na waziri mkuu hadi itakapopatikana namna nzuri ya kuendesha hili mikopo hivyo?
Wananchi wa Tanzania wamelala sana. Wanaona kama suala la u adhirifu wa fedha za umma haliwahusu, wako bize na mijadala ya Simba na Yanga pamoja na umbea wa Nyalandu.
Mxiuuuuuu!! Bora ningezaliwa mbwa Ulaya.
Huwa naomba kila siku hili BLANKET vichwani mwa Watanganyika litoke..hakika MOTO utawakaWananchi wa Tanzania wamelala sana. Wanaona kama suala la ubadhirifu wa fedha za umma haliwahusu, wako bize na mijadala ya Simba na Yanga pamoja na umbea wa Nyalandu.
Mxiuuuuuu!! Bora ningezaliwa mbwa Ulaya.
Blanketi ni zito haliondoki.Huwa naomba kila siku hili BLANKET vichwani mwa Watanganyika litoke..hakika MOTO utawaka
Itoshe kusema mambo yanayofanyika ni upumbavu mtupu Kwa ajili ya kujinufaisha wao wenyewe.Huyo Waziri Mkuu yuko Chama gani ?
Wewe una uraia wa wapi Burundi Si uonyeshe mfano ukawatandike bakora hao waliogawana hizo Billion kwenye vikundu hewaWananchi wa Tanzania wamelala sana. Wanaona kama suala la ubadhirifu wa fedha za umma haliwahusu, wako bize na mijadala ya Simba na Yanga pamoja na umbea wa Nyalandu.
Mxiuuuuuu!! Bora ningezaliwa mbwa Ulaya.
Noma sana !Itoshe kusema mambo yanayofanyika ni upumbavu mtupu Kwa ajili ya kujinufaisha wao wenyewe.
Ungezaliwa jike alafu mi dume nikupige Pipe. Wazungu wangekuita Manunu.Wananchi wa Tanzania wamelala sana. Wanaona kama suala la ubadhirifu wa fedha za umma haliwahusu, wako bize na mijadala ya Simba na Yanga pamoja na umbea wa Nyalandu.
Mxiuuuuuu!! Bora ningezaliwa mbwa Ulaya.
Inasikitisha sana mkuu yaani ccm imewawekea mtego wa Yanga na Simba watu wamenasa ni full ujinga.Wananchi wa Tanzania wamelala sana. Wanaona kama suala la ubadhirifu wa fedha za umma haliwahusu, wako bize na mijadala ya Simba na Yanga pamoja na umbea wa Nyalandu.
Mxiuuuuuu!! Bora ningezaliwa mbwa Ulaya.
Halafu kesho watabeba Picha za Hangaya UwanjaniInasikitisha sana mkuu yaani ccm imewawekea mtego wa Yanga na Simba watu wamenasa ni full ujinga.
Dogo mbona makasiriko tenaWewe una uraia wa wapi Burundi Si uonyeshe mfano ukawatandike bakora hao waliogawana hizo Billion kwenye vikundu hewa
Sio makasiriko unaposema watanzania bla bla bla kwani wewe msomali?Dogo mbona makasiriko tena
CCM !Huyo Waziri Mkuu yuko Chama gani ?
Hahahahaha na hapo kuna wiki mbili za kubishana Yanga na Simba ..na ripoti yenyewe inakua ishasahaulikaInasikitisha sana mkuu yaani ccm imewawekea mtego wa Yanga na Simba watu wamenasa ni full ujinga.
Uwakute Sasa huko mikoani wanavyonyanyasa wafanyabiashara Wadogo kumbe majizi Makubwa. Nitashangaa Halmashauri za Mafinga, Mbozi, Nkasi na Sumbawanga zikikosekana kwenye risti.Na wala hakuna aliyewahi kukamatwa achilia mbali kufungwa , hili ndilo linawafanya viongozi wa ccm kulogana kugombea Vyeo kwenye matawi na kata , huwa wanalambishwa hizi heka hata kama ni kidogo kidogo , Chini ya uongozi wa ccm hakuna mwaka hawa wanaokula hela hizi watashitakiwa
View attachment 2947453