Hili la Majizzo kuzaa na Salma Msangi halijakaa sawa

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
Kweli majizo ni hatari baada ya kuzaa na mobeto sasa ameenda kuzaa na salma msangi.
Na juzi kwenye 40 ya mtoto mzee mzima alitimba
Ndio maana lulu ameamua kuwa mlevi tuu
 
Jinsi ulivyoandika utakuwa kama vile ya jana kuwaona wana furaha wapenzi hao imekuchomaaaa haswa
 
Majizo ameonyesha unafki wa wanaume wengi


Na Salma kwanini kuzaa na mchumba wa mtu.,mhh🙌🏽
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…