Hili la Manzoki limekwisha sasa

Hili la Manzoki limekwisha sasa

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
Wakuu.

Mimi kama mwanachama na shabiki wa Simba.

Leo hatimaye nimepata taarifa Rasmi kuwa Mshambuliaji kutoka Vipes ya Uganda Cesar Lobi Manzoki RASMI HAJASAJILIWA SIMBA NA HATA JIUNGA NA WEKUNDU HAO WA MSIMBAZI.

1. VIONGOZI KUWENI WAKWELI. WAWAZI.
Mmepambana sana kumtaka lakini ndio hivyo mmeshindwa Tena. AIBU YENU.

2. KILICHOTUNYIMA UBINGWA MSIMU ULIOPITA NI PAMOJA NA UBUTU WA SAFU YA USHAMBULIAJI.

SAFU ya USHAMBULIAJI ya sasa inapoteza nafasi nyingi sana. Na kukosa Magoli mengi ya wazi.
Makosa ya kisajili Bado yanaendelea kuwa mengi sana.

KILA LAKHEI MANZOKI NA TUMU YAKO YA VIPERS.
 
Yupo Manzoki wa Buguruni Chama Karibu Dili lake Lita tiki.[emoji3][emoji3] Tangu uongozi wa Simba ulipo walaghai Mashabiki kwenye Dili la M- bet kutoka 12.5 b Kwa miaka 5 ikatangazwa 26 b Kwa miaka 5 niliwavulia kofia.
 
1. VIONGOZI KUWENI WAKWELI. WAWAZI.
Mmepambana sana kumtaka lakini ndio hivyo mmeshindwa Tena. AIBU YENU.
Ni aibu gani sasa kumkosa mchezaji mwenye mkataba na timu yake? Haujui kwamba ili mchezaji ajiunge na timu ni lazima awe huru bila ya kuwa na mkataba, iwe kwa kuuvunja uliopo au kumalizika? Kama timu inayommiliki haina mpango wa kuchukua fedha yoyote ya mauzo, aibu inakujaje kwa timu inayomuhitaji? Au unadhani Barcelona wakija na dola 5,000,000 (bilioni 11.5 za Tanzania) na Vipers wakazikataa, bado utasema aibu kwa Barcelona?
 
waweke hela,kama wameweka na bado Vipers wanazingua watafute mwingine kama awawezi kusaka mwingine wabaki na huyo mzungu na mzee Boco.
 
Ni aibu gani sasa kumkosa mchezaji mwenye mkataba na timu yake? Haujui kwamba ili mchezaji ajiunge na timu ni lazima awe huru bila ya kuwa na mkataba, iwe kwa kuuvunja uliopo au kumalizika? Kama timu inayommiliki haina mpango wa kuchukua fedha yoyote ya mauzo, aibu inakujaje kwa timu inayomuhitaji? Au unadhani Barcelona wakija na dola 5,000,000 (bilioni 11.5 za Tanzania) na Vipers wakazikataa, bado utasema aibu kwa Barcelona?
Kwa hiyo hii imekaa kama ile ya Mayele alivyotakiwa na timu kule SA Yanga wakamzuia?.
 
Wakuu.

Mimi kama mwanachama na shabiki wa Simba.

Leo hatimaye nimepata taarifa Rasmi kuwa Mshambuliaji kutoka Vipes ya Uganda Cesar Lobi Manzoki RASMI HAJASAJILIWA SIMBA NA HATA JIUNGA NA WEKUNDU HAO WA MSIMBAZI.

1. VIONGOZI KUWENI WAKWELI. WAWAZI.
Mmepambana sana kumtaka lakini ndio hivyo mmeshindwa Tena. AIBU YENU.

2. KILICHOTUNYIMA UBINGWA MSIMU ULIOPITA NI PAMOJA NA UBUTU WA SAFU YA USHAMBULIAJI.

SAFU ya USHAMBULIAJI ya sasa inapoteza nafasi nyingi sana. Na kukosa Magoli mengi ya wazi.
Makosa ya kisajili Bado yanaendelea kuwa mengi sana.

KILA LAKHEI MANZOKI NA TUMU YAKO YA VIPERS.
Uyo manzoki mwenyewe mnaemshadadia sioni cha ajabu alichonacho, wahandishi uchwara wanampandisha chati aonekane ni bonge la mchezaji wakati ni mchezaji wa kawaida tu na ndio maana na vipers wameona waongeze dau lake kwakuwa ameongelewa sana na vyombo vya habari vikionyesha watu wanamuhitaji sana ivyo wakaona isiwe tabu wacha wapate pesa ya bure kwa mchezaji wa kawaida
 
Jaman mm Simba watani zangu siwaelewi. Hivi si mna mzungu ambae mnamuimba kwa sasa? Na kasifiwa na maboss kua atafunga sana? Sasa Manzoki wa nn tena au watacheza wawili? Ukizingatia kuna Kyombo na Bocco.
 
Sisi wala hatuna shida naye. Shida ni utopolo watakosa thread ya kuandika negativity zao maana kukiwa na uzi unaohusu manzoki wanajaa kama nzi kupinga ujio wake. Lakini kwa sisi ambao huyo manzoki hatuna habari naye hii sio habari.
 
Sisi wala hatuna shida naye. Shida ni utopolo watakosa thread ya kuandika negativity zao maana kukiwa na uzi unaohusu manzoki wanajaa kama nzi kupinga ujio wake. Lakini kwa sisi ambao huyo manzoki hatuna habari naye hii sio habari.
Unatoa shilingi ngapi kugharamia usajili?
 
Wakuu.

Mimi kama mwanachama na shabiki wa Simba.

Leo hatimaye nimepata taarifa Rasmi kuwa Mshambuliaji kutoka Vipes ya Uganda Cesar Lobi Manzoki RASMI HAJASAJILIWA SIMBA NA HATA JIUNGA NA WEKUNDU HAO WA MSIMBAZI.

1. VIONGOZI KUWENI WAKWELI. WAWAZI.
Mmepambana sana kumtaka lakini ndio hivyo mmeshindwa Tena. AIBU YENU.

2. KILICHOTUNYIMA UBINGWA MSIMU ULIOPITA NI PAMOJA NA UBUTU WA SAFU YA USHAMBULIAJI.

SAFU ya USHAMBULIAJI ya sasa inapoteza nafasi nyingi sana. Na kukosa Magoli mengi ya wazi.
Makosa ya kisajili Bado yanaendelea kuwa mengi sana.

KILA LAKHEI MANZOKI NA TUMU YAKO YA VIPERS.
Utopolo kazini. Unapata wapi za ndani km siyo uongo tu, wewe ni utopolo kwa mwandiko had maandishi yako.
 
Wakuu.

Mimi kama mwanachama na shabiki wa Simba.

Leo hatimaye nimepata taarifa Rasmi kuwa Mshambuliaji kutoka Vipes ya Uganda Cesar Lobi Manzoki RASMI HAJASAJILIWA SIMBA NA HATA JIUNGA NA WEKUNDU HAO WA MSIMBAZI.

1. VIONGOZI KUWENI WAKWELI. WAWAZI.
Mmepambana sana kumtaka lakini ndio hivyo mmeshindwa Tena. AIBU YENU.

2. KILICHOTUNYIMA UBINGWA MSIMU ULIOPITA NI PAMOJA NA UBUTU WA SAFU YA USHAMBULIAJI.

SAFU ya USHAMBULIAJI ya sasa inapoteza nafasi nyingi sana. Na kukosa Magoli mengi ya wazi.
Makosa ya kisajili Bado yanaendelea kuwa mengi sana.

KILA LAKHEI MANZOKI NA TUMU YAKO YA VIPERS.
Chawa wa Yanga kazini
 
Ni aibu gani sasa kumkosa mchezaji mwenye mkataba na timu yake? Haujui kwamba ili mchezaji ajiunge na timu ni lazima awe huru bila ya kuwa na mkataba, iwe kwa kuuvunja uliopo au kumalizika? Kama timu inayommiliki haina mpango wa kuchukua fedha yoyote ya mauzo, aibu inakujaje kwa timu inayomuhitaji? Au unadhani Barcelona wakija na dola 5,000,000 (bilioni 11.5 za Tanzania) na Vipers wakazikataa, bado utasema aibu kwa Barcelona?

Umemchoma na kitu chenye ncha kali.
 
Taarifa rasmi umepata toka kwa nani? Hata ya Haji Manara inaweza kuwa ni rasmi
 
Unatoa shilingi ngapi kugharamia usajili?
Ndo maana haunipi presha huo usajili. Niwaulize nyie mnaotaka asijiliwe kila siku ni manzoki manzoki mnatoa sh ngapi? Au swali lako unamaana gani...
 

Kwani bado hujajiondoa tu?
 
Ndo maana haunipi presha huo usajili. Niwaulize nyie mnaotaka asijiliwe kila siku ni manzoki manzoki mnatoa sh ngapi? Au swali lako unamaana gani...
😃😃 Umekimbiliaje kujibu kabla haujaelewa
 
Back
Top Bottom