Hili la Masanja Mkandamizaji Kugeukia Muziki wa Injili Nalo si "Usanii"!!!???

Hili la Masanja Mkandamizaji Kugeukia Muziki wa Injili Nalo si "Usanii"!!!???

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Awali mkandamizaji alikua anaimba muziki wa injili kwa kujiiba-iba lakini inavyoonekana sasa baada ya kutemwa TBC Kimkataba MM ameamua kujikita mazima, huku ikionekana kabisa yuko kibiashara zaidi kwa jinsi nilivyomuona akitumbuiza Tanga kupitia TBC

Sijui wanajamvi mnasemaje....
 
Kuna mwimbaji yeyote wa nyimbo za gospel ambaye hayupo kibiashara nchi hii?
Nitajieni hata mmoja.
 
nyimbo za dini zinauzika, bongo fleva utaishia sifa tu...
 
Unapokuwa mwimbaji wa nyimbo za injili 1 kuhubiri injili 2 jinsi gani utapata pesa kwa ajili huduma.
 
Duuu! Jamani anatumia kipaji chake kumtukuza muumba wake na pia kumuwezesha kuishi unataka awe kibaka?
 
Nani aliwadanganya mkataba wao na TBC umèfutwa?
 
Aprin nadhan inabid nikupe maziwa utapike hizo pilitoni za usingiz ulizomeza
maana inaonesha umelala fofofo kbs na mambo yanavoenda nchi hii
hata hilo nalo kuliskia mbado??
Bado kijana mudogo eeeh...??!!
 
Duuu! Jamani anatumia kipaji chake kumtukuza muumba wake na pia kumuwezesha kuishi unataka awe kibaka?

jaman watanzania wanataka mtu awe vp? Mtu akijituma shida akiiba ndo kabisaa. Lipi jema kwa watz
 
Back
Top Bottom