Hili La Mbeya City: SHERIA INASEMAJE???

Baba Wawili 2012

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2012
Posts
413
Reaction score
336
Ndugu JF Family,

Naomba mnisaidie, niko Mbeya kikazi japo pia ni nyumbani Gari la matangazo linapita katika maeneo yote ya mbeya na viunga vyake kutangaza ugawaji wa Viwanja vya Ujenzi eneo la Iyunga Nyuma Ya MUST(zamani MIST) KUWA kutakuwa na ugawaji wa viwanja huko na siku ya mwisho kuchukua fomu ni tarehe 20/09/2013/

Tatizo langu ni gharama inayotangazwa za kuchukua form....kila form ni Tsh 80,000/= non refundable.

swali? Binafsi hii garama ya form ni kubwa sana kwa ajili ya form tu>? Nani anapanaga hizi gharama za kuchukua form za viwanja? sheria inasemeje kuhusu kupanga garama ya viwanja?
na kuna msururu mkubwa sana wa kuchukua form hizo, hivi ni fair kwa mtu asipolizika na eneo akawa amepoteza pesa kubwa kiasi hicho kwa ajili ya form????

Kuhusu mipango ya jiji hiili la mbeya inashangaza sana....yaan inaonekana kila kitu kivyake vyake,,Pale stend kuu ya mabasi ya mkoani ada ya gar ndogo ukiingia na kutoka tu ni Tsh 1000/= OFCOURSE sijaona mantiki ya kodi hii ikiwa inashinda ile ya airport DSM ths 500 KWA NUSU SAA/////

Najua Halmashauri zina uwezo wa kuunda sheria ndogo ndogo....lakini ili tozo la Tsh 80,000 kwa form na 1000 kwa gari ndogo....naona halijafikiria wanyonge

i present
 
Huo ni wizi,wangepaswa wawaeleze wananchi na idadi ya viwanja vilivyopo na watoe fomu kulingana na viwanja vilivopo
 
Huo ni wizi,wangepaswa wawaeleze wananchi na idadi ya viwanja vilivyopo na watoe fomu kulingana na viwanja vilivopo


sana mkunyegere....tetesi nilizonazo kuwa viwanja ni vichache sana...lakini uchukuaji wa form watu ni wengi...ofcourse limenigusa sana.....naona watu wanaibia wananchi kimacho kimacho....form just form 80,000/= inazidi gharama ya ku-apply Masters? au imekuwa viza application to UK, US....????


Jamani hili mimi naona linanikereka sana.....!!!!!!
 
Mbaya zaidi square meter moja kwa maeneo ya makazi ati wanauza kwa 7,000/= wakati wao waliwapa fidia wananchi kwa 500/= kwa square meter. Maeneo ya biaahara 30,000/= kwa square meter. Kumbuka bei zao za mara ya mwisho za maeneo ya makazi zilikuwa 3,000/= kwa square meter.
 

Yaan kwa haraka haraka kiwanja cha chini kabisa kwa mtu kujenga nyumba ya kawaida....kwa square meter 100 x 100...ni Mil 7 na ndio nilvosikia..sasa hii serikali au ni mtu binafsi amechukua maeneo kwa wakazi na kuyauza????????
 
Navyojua mimi, hizi by-laws zikitengeneza zinabandikwa kwenye notice board kama mtu anachallenge yoyote anapeleka maoni yake. What happens is that nobody bothers na municipal always takes advantage of this. So maybe ukichallenge hii kitu mahakamani kwamba hio sheria ni unconsitutional that it deprive a person from the right to own land. Sema its will be hard to convince a judge. Goodluck na pole
 
jina la Mbeya City linazidi kushika KASI, unatukumbusha machungu ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…