Kuna wakati unatamani ujifiche. Tangu mwaka jana tunaondolewa CAF CL ni kwa sababu ya ujinga wa bvr kwa sababu why wanashindwa kuajiri kocha mwenye leseni A kwa nafasi ya MATOLA why?
Hizi aibu Simba inapata bvr anajisikiaje mi naona anafeli. Why kila msimu sasa CAF tunaanza kwa ujinga huu na tunajua kila msimu ratiba inafahamika kwa nini Zoran wasingemuomba tucheze hizi game 2 huku tunatafuta mbadala why?
Imefika wakati SASA Simba apewe MAGORI awe CEO na BVR abaki huko ndani tusimuone ni aibu Mgunda kwenda kule kumbe hana cheti.
Hizi aibu Simba inapata bvr anajisikiaje mi naona anafeli. Why kila msimu sasa CAF tunaanza kwa ujinga huu na tunajua kila msimu ratiba inafahamika kwa nini Zoran wasingemuomba tucheze hizi game 2 huku tunatafuta mbadala why?
Imefika wakati SASA Simba apewe MAGORI awe CEO na BVR abaki huko ndani tusimuone ni aibu Mgunda kwenda kule kumbe hana cheti.