Mbona Barbra jana aliandika Mgunda ana CAF A, au ilikuwa chai?Kuna wakati unatamani ujifiche. Tangu mwaka jana tunaondolewa caf cl ni kwa sbb ya ujinga wa bvr kwa sbb why wanashindwa kuajiri kocha mwenye leseni ...
Mbona bvbr jana aliandika Mgunda ana CAF A, au ilikuwa chai?
hahahaha.ngoja tushinde ugenn .mnasahau yote .Hii ni aibu ya karne. Alafu tunakomaa na kocha msaidizi asiye na vyeti. Simba tumevurugwa sana aisee ...
Uongozi wa Simba una vituko kweli kweli
Kwa hiyo unampangia mwekezaji wako! Unadhani zile bilioni zake 20 ni za mchezo mchezo!!Kuna wakati unatamani ujifiche. Tangu mwaka jana tunaondolewa CAF CL ni kwa sababu ya ujinga wa bvr kwa sababu why wanashindwa kuajiri kocha mwenye leseni A kwa nafasi ya MATOLA why...
Kuna wakati unatamani ujifiche. Tangu mwaka jana tunaondolewa CAF CL ni kwa sababu ya ujinga wa bvr kwa sababu why wanashindwa kuajiri kocha mwenye leseni A kwa nafasi ya MATOLA why...
Jifunze kufanya utafiti kabla ya kukurupuka kusema jamboKuna wakati unatamani ujifiche. Tangu mwaka jana tunaondolewa CAF CL ni kwa sababu ya ujinga wa bvr kwa sababu why wanashindwa kuajiri kocha mwenye leseni A kwa nafasi ya MATOLA why...
Mechi tatu makocha wa 4[emoji23][emoji23]Toka Ligi kuu ianze yapata mwezi Mm Makolo Wameongozwa na Makocha:
Zoran
Matola
Mgunda
Nkoma
Total ni Wa4 [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani matako na pale kati nyuma ya matako kuna mwiko.Mkuu nadhani mpaka muda huu umejionea ulivyo matako