mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Na mama anaupiga mwingiNchi hii hakika matatizo ni makubwa sana
Ila ole wao siku nikose huduma.. nitatengeneza ushahidi nitarusha hadi Ngumi watanitoa tuuMkuu uko sahihi,naumia sana kuona tukifanyiwa uhuni na hawa NHIFTZ ,nilishasema humu mara nyingi,kama hawawezi kutuhudumia watangaze kufirisika na wasitishe makato kwa watumishi mara moja ili tutafute mifuko mingine ya bima tupate huduma.
Pili kama wanaona makato yetu kwao ni kidogo wapeleleke mswada bungeni wakipendekeza kuongeza makato ili kuendana na uhalisia.
Tatu waweke vifurushi kwa watumishi wa umma kama ilivyo kwa wachangiaji binafsi.,tuwe na uwezo wa kuchagua aina ya vifurushi na huduma zake .
Mwisho nhif wajiandae kufuraia vifo vya wanachama wao ili wao wapokee makato yao bure😭😭😭😭
Fedha gani ? Ukilipa usipoumwa ndani ya mwaka jua pesa yako imeenda hioWandugu,
Hospitali za private zimesitisha huduma kwa wagonjwa wanao katwa mishahara yao kila mwezi na mfuko wa NHIF.
NHIF nayo leo imetangaza kusitisha mkataba na hospitali ya agakhani na TMJ.
Bila shaka madhira ni makubwa sana kwa wafanyakazi.
Ombi langu:
Kwa kuwa huu mfuko sasa hautusaidii chochote . Waturuhusu basi tunaotaka tujitoe na mfuko huo fedha hiyo tukopee bank ili tuanzishe miradi na tumudu gharama za matibabu.
Ni hayo tu kwa usiku huu
Hakika maana fedha yetu inaenda bure tuuMzee umemaliza na hikopesheki sasa unataka wakuruhusu ukavute mpunga wako. Nashauri waturuhusu mapema hususani kupindi hiki cha mvua. Twende benki then twende shambani.