Hili la NSSF kutokutoa mafao yetu ni kweli?

Ni wapi huko mkuu mm Niko arusha PPF wanasema hawatoi
Mkuu hyo pesa ipo unless haukidh vigezo ipo wazi kabisa kwa sasa tangu THh 10 mwez uliopita PPF NSSF wameachia hilo fao.maongez yanaendelea kati ya vyama vya wafanyakazi ili iundwe sheria ku guide hili suala isifikie kipind izuiwe tena.hii ji kwa mujibu wa chama cha wafanyakazi wa sekta ya madini na ujenzi NUMET.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…