Hili la Simba na Yanga huenda nalo likawa ni jambo la kisiasa!

Hili la Simba na Yanga huenda nalo likawa ni jambo la kisiasa!

mwehu ndama

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2019
Posts
630
Reaction score
2,151
Serikali inamkono mrefu Kamaa wa jini maimuna. Hili limedhihirika hapo jana baada ya sintofahamu bin zengwe iliyosababisha mashaka makubwa juu ya uwepo wa mchezo wa Leo wa Yanga vs Simba.

Duru za mwehu ndama zinasema mchezo huu umeingiliwa kati na serikali ya mama Kizimkazi, kwa kuzingatia kuwa Leo yeye ndie mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya mwanamke kitaifa huko Arusha.

Hivyo nani kama mama , hawezi kukubali attention ya Siku hii muhimu kwake kujitangaza KISIASA katika mwaka huu wa uchaguzi , iende kwa malofa wawili wa taifa "Simba na Yanga"

Hivyo mama Kizimkazi ,amenyoosha mkono wake tukufu .Nahili liiwe fundisho kwa wapenda vya Bure wote kama Hawa malofa wawili "Simba na Yanga"waliokuwa wakisheherekea hela ya goli la mama .

Leo hii malofa Hawa wawili wamebaki kushikana uchawi huku mama Kizimkazi akipepea kama mwewe mawinguni

Adioooos
 

Attachments

  • img_2_1741262504674.jpg
    img_2_1741262504674.jpg
    212.9 KB · Views: 1
Hatimae swala la KISIASA limekamilikaa , na mechi ya wale malofa wawili Yanga na Simba imeahirishwa..uwanja ni wako mtukufu Kizimkazi kuiteka nchi na hotuba motomoto..Nani kama mama????
 
Serikali inamkono mrefu Kamaa wa jini maimuna. Hili limedhihirika hapo jana baada ya sintofahamu bin zengwe iliyosababisha mashaka makubwa juu ya uwepo wa mchezo wa Leo wa Yanga vs Simba.

Duru za mwehu ndama zinasema mchezo huu umeingiliwa kati na serikali ya mama Kizimkazi, kwa kuzingatia kuwa Leo yeye ndie mgeni rasmi katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya mwanamke kitaifa huko Arusha.

Hivyo nani kama mama , hawezi kukubali attention ya Siku hii muhimu kwake kujitangaza KISIASA katika mwaka huu wa uchaguzi , iende kwa malofa wawili wa taifa "Simba na Yanga"

Hivyo mama Kizimkazi ,amenyoosha mkono wake tukufu .Nahili liiwe fundisho kwa wapenda vya Bure wote kama Hawa malofa wawili "Simba na Yanga"waliokuwa wakisheherekea hela ya goli la mama .

Leo hii malofa Hawa wawili wamebaki kushikana mikono huku mama Kizimkazi akipepea kama mwewe mawinguni

Adioooos
Adioos
 
Hatimae malofa Yanga wameanza safari kwenda uwanjani😳!
 
Watanzania wengi huwa hatuwazi nje ya box, tunatafuta mkosaji ni nani kati ya Simba na Yanga wakati watu wa system walio ndani ya hizi timu na board wamechenza mchezo nyuma ya pazia
 
Watanzania wengi hawana akili na hawajitambui ndiomaana mambo kama haya yanatokea. Watz ifike hatua muwe na akili mbwa nyie mgome kwenda kwenye hizo mechi zao ili waje kuwapigia magoti kwenye vyombo vya habari.

Mbwa nyie
 
Watanzania wengi hawana akili na hawajitambui ndiomaana mambo kama haya yanatokea. Watz ifike hatua muwe na akili mbwa nyie mgome kwenda kwenye hizo mechi zao ili waje kuwapigia magoti kwenye vyombo vya habari.

Mbwa nyie
usitukane serikali, inamkono mrefu
 
Back
Top Bottom