Jua kali,halafu tambua kule walipo ni jangwaniππMkuu mbona Swaumu imekuwahi hivyo?πππ
Yanga tunapeleka timu. Na mashabiki wajitokeze kwa wingi kuishuhudia timu yao ikiondokan na pointi 3 muhimu. Wataosusa, nawasuse ili hatua nyingine nazo zifuate.Tupeni updates za kinachoendelea kwa Mkapa tujue, watu wanaingia uwanjani au kumefungwa?
Ujinga wa aina yako ndio mtaji mkubwa wa chama tawala nchini.pia ujinga wa kula njama kukwepa goli nane ni mtaji mkubwa wa mangungu