Hili la vishikwambi Serikali inajiletea mtafaruku usio na sababu kwa Walimu

Hili la vishikwambi Serikali inajiletea mtafaruku usio na sababu kwa Walimu

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
Tarehe 4/11/2022
Waziri mkuu alizindua zoezi la ugawaji vishikwambi Kwa walimu na alisema vishikwambi vitolewe Kwa walimu WOTE nchini!

Lakini kwasasa Hali ni tofauti Kila halmashauri imekuwa na Utaratibu wake,
Wapo wanaotoa Kwa walimu wote na wengine wanatoa Kwa walimu baadhi Tu!
Mimi nishauri kama vishikwambi hivi havitoshi ni Bora viongezwe au kama Kuna watu walichepusha baadhi Kwa manufaa Yao ni Bora virejeshwe kuliko kugawa Kwa baadhi na wengine kukosa.

Mbaya zaidi tayari upendeleo na kujuana ndio msingi wa ugawaji Kwa vishikwambi vilivyopo..
Mh Angela Kairuki sijui hata kama analijua hili!!
 
Nakubaliana na wewe 100%.

Naamini Idadi ya waalimu inafahamika hivyo, kama Waziri Mkuu alisema wapewe waalimu wote alijua kwa idadi ya waalimu waliopo vinatosha (kama vitagawanjwa kutokana na Idadi ya waalimu na sio Idadi ya Halimashauri) na ikitokea havitoshi kila Halmashauri inaweza kufanya namna ya kutekeleza agizo la Muheshimiwa kwa njia nzuri bila kuleta mtafaruku
 
sina hakika viko vingapi jumla lakini kama tungekuwa serious vi vifaa bora sana kufundishia practice kwa kutumia video kwa wanafunzi.
 
Tarehe 4/11/2022
Waziri mkuu alizindua zoezi la ugawaji vishikwambi Kwa walimu na alisema vishikwambi vitolewe Kwa walimu WOTE nchini!
Lakini kwasasa Hali ni tofauti Kila halmashauri imekuwa na Utaratibu wake,
Wapo wanaotoa Kwa walimu wote na wengine wanatoa Kwa walimu baadhi Tu!
Mimi nishauri kama vishikwambi hivi havitoshi ni Bora viongezwe au kama Kuna watu walichepusha baadhi Kwa manufaa Yao ni Bora virejeshwe kuliko kugawa Kwa baadhi na wengine kukosa..
Mbaya zaidi tayari upendeleo na kujuana ndio msingi wa ugawaji Kwa vishikwambi vilivyopo..
Mh Angela Kairuki sijui hata kama analijua hili!!
Hivi vishikwambi lazima baada ya muda vilete chuki. Baada ya muda utasikia mwalimu kafukuzwa/kasimamishwa kazi au kisa kapoteza au kaharibu kishikwambi
 
Kinacho niudhi zaidi talgu wapo kimya CWT ilipambania walimu wakatawala sensa Sasa viskwambi vimerudi wakapambaniwa Sasa Hawa mbwa Ela zetu wanakula na nguo za mei mosi mwaka Jana hawajaleta
Walimu msilalamike chama chenu kinawajali hawa mbwa koko wetu hata hawajui kama kunawatu wanawatumikia
 
Tarehe 4/11/2022
Waziri mkuu alizindua zoezi la ugawaji vishikwambi Kwa walimu na alisema vishikwambi vitolewe Kwa walimu WOTE nchini!

Lakini kwasasa Hali ni tofauti Kila halmashauri imekuwa na Utaratibu wake,
Wapo wanaotoa Kwa walimu wote na wengine wanatoa Kwa walimu baadhi Tu!
Mimi nishauri kama vishikwambi hivi havitoshi ni Bora viongezwe au kama Kuna watu walichepusha baadhi Kwa manufaa Yao ni Bora virejeshwe kuliko kugawa Kwa baadhi na wengine kukosa.

Mbaya zaidi tayari upendeleo na kujuana ndio msingi wa ugawaji Kwa vishikwambi vilivyopo..
Mh Angela Kairuki sijui hata kama analijua hili!!
Hebu tuweke mambo ya ushabiki pembeni. Mwl akikosa kishkwambi anapungukiwa nini kwenye maisha yake. Hata sasa Hivi hawana je kuna kasoro gani inayowakumba? Mimi nasema hivyo vishkwambi vichomwe moto maana havina manufaa yoyote kwa hao wanaopewa zaidi ya kujenga uhasama.
 
sina hakika viko vingapi jumla lakini kama tungekuwa serious vi vifaa bora sana kufundishia practice kwa kutumia video kwa wanafunzi.
Hivyo vinaenda kuharibika tu bora wangetafuta taasisi nyingine na kuwapa lkn sio walimu.Baada ya miezi 6 watafute takwimu za hivyo vishikwambi vizima vingapi na vibovu vingapi %70 vitakuwa vilishaharibiwa.
 
Mtu umeajiriwa unalipwa mshahara then unalalamika kuwa unahitaji kishikwambi ili kikusaidie Nini acheni kulalamika kwa vitu vidogo


Binafsi waalimu mnatia Sana Aibu hamjitambui zero brain
Nadhani hili si jambo la kwanza kwa Watumishi hawa kupatiwa vishikwambi. Wabunge walishapatiwa pia na wana vipato vikubwa tu
 
Nadhani hili si jambo la kwanza kwa Watumishi hawa kupatiwa vishikwambi. Wabunge walishapatiwa pia na wana vipato vikubwa tu
Fanyeni Kazi
Kama unalipwa mshahara unaweza kununua na wewe kishikwambi hata sio bei kubwa tuache tamaa na vitu vidogo , Mimi nimefanya hiyo Kazi ya sensa so sioni Kama Kuna kitu kipya kuzidi hata sm ya Tecno.🙂🙂
 
Mtu umeajiriwa unalipwa mshahara then unalalamika kuwa unahitaji kishikwambi ili kikusaidie Nini acheni kulalamika kwa vitu vidogo


Binafsi waalimu mnatia Sana Aibu hamjitambui zero brain
Uliona mwalimu nani alisema analilia kupewa kishikwambi?
Ni serikali yenyewe ndio iliamua hivyo na wala sio walimu waliomba au kulilia..

Halafu kabla hujakoment ni Bora kusoma vizuri kilichoandikwa
 
Back
Top Bottom