Hili la Wabongo kukamatwa kwenye vyumba vya kulala likija Kenya itakuaje

Hili la Wabongo kukamatwa kwenye vyumba vya kulala likija Kenya itakuaje

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kuna taarifa zinasema kuna operation imeagizwa Tanzania ya kuwakamata wanaolala kwenye guest house au vyumba vya kulala muda wa kazi. Yaani duh, mapolisi wanakuibukia hotelini na unakamatwa mara moja kisa umelala humo muda wa kazi.
Wakenya wenzangu mnaliona vipi, likija kwetu si ndio itakua vioja..... Jameni wabongo wanalo, lazima wafikie kuwa nchi ya viwanda hata kwa kulazimishwa....hehehe
Dar: Ukikutwa gesti mchana unakamatwa. RC Makonda akanusha kuwatuma askari kufanya msako

2me1gs5.jpg

b2ed3173_15cd_4ab8_9184_ef07a7d068a4.jpg
 
mwenywe umepeleka kampango kako ka kando unafanya mambos alafu polisi wanabisha ba kuingia... inakua kesi nyengine sasa!!

this is an invasion, hata nchi za udikteta hua si rahisi kufika hapa unless ni state of emergency,
 
Ikifika huko kwenu itabidi muwe mnafanyia kwenye mitaro aisee poleni sana
 
mwenywe umepeleka kampango kako ka kando unafanya mambos alafu polisi wanabisha ba kuingia... inakua kesi nyengine sasa!!

this is an invasion, hata nchi za udikteta hua si rahisi kufika hapa unless ni state of emergency,

Hehehe!! Halafu unajua kawaida vile mapolisi huwa na wivu, wakiona una demu mrembo zaidi ndio utakoma, wanakuzingua balaa.
Yaani Bongo wanakurupuka hadi raha, juzi niliona taarifa sehemu online eti ukitokea mikoani na kutembelea Dar, lazima utoe taarifa utakaa Dar kwa muda gani kabla ugeuze. Wakaibuka na lingine eti watahesabu vijana wasiokua na ajira mjini, nyumba kwa nyumba...
 
Hehehe!! Halafu unajua kawaida vile mapolisi huwa na wivu, wakiona una demu mrembo zaidi ndio utakoma, wanakuzingua balaa.
Yaani Bongo wanakurupuka hadi raha, juzi niliona taarifa sehemu online eti ukitokea mikoani na kutembelea Dar, lazima utoe taarifa utakaa Dar kwa muda gani kabla ugeuze. Wakaibuka na lingine eti watahesabu vijana wasiokua na ajira mjini, nyumba kwa nyumba...
Inabidi ujifunze mfumo wa nyumba kumi wa Tanzania.
 
Inabidi ujifunze mfumo wa nyumba kumi wa Tanzania.
Huwa unanipa raha jinsi unatetea kila aina ya huu mkurupuko, japo huwa naona hata kuna wafuasi wa CCM ambao wanasema hawaungi mkono maamuzi mengine, ila wewe duh... anyway inaitwa passion, good man.
 
Back
Top Bottom