Mtoa mada acha upotoshaji waxing ni moja ya hair removal techniques . Na watoa huduma wanafanya kazi yao vizuri tu
Na nywele zinachelewa kukua ndio sababu watu wanaipenda zaidi though it is painful especially bikini waxing
Huko spa ulishasikia wananyolewa kwa kusuguliwa???
Binafsi i prefer waxing na ninafanya underarms , bikini , full arms and full legs
Yaani hapo unapata hasara ya kupiteza pesa kipumbavu halafu na kuchunguliwa juu. Ila kama kuna watu wanaenda huko kunyolewa nywele za sehemu za siri, hawana utimamu wa kufikiriaYanafanyika bongo hii hiii
Kunyoa makwapa kuanzia elfu 20
Kunyoa kipochimanyoya kuanzia elfu 70
Anayewahudumia anakuwa na junsi kama yako?Una moyo mimi hiyo ya nta ambayo ubandui na kitambaa siwezi hata kwa hela inauma mnooo.
Hiyo ya kupaka halafu unaibandua na zile karatasi zake ile naona haiumi dakika 20 tu kamaliza
Vitu vinavyotumiwa havipatikaniki ili ufanye mwenyewe nyumbani kwako?My Dear kiukweli mimi naweza nisiwe muongo, ni huduma kama huduma zingine.
Kikubwa uwe na mtu mmoja anaekufanyia na awe msafi kwa maana kuvaa gloves N.k nowdays naona imeingiliwa kila mtu anatoa hiyo huduma.
Halafu wanawake wengi wanafanya ndiyo maana sehemu zinazotoa hii huduma zinazidi kuwa nyingi.
Na ukianza hautoacha!!
Kuna watu wavivu wa mwili mpaka akili kiasi kwamba hata mishipa ya aibu na ya ppkujiheshimu imekatikaNawaza tuu ilivyo kero na ngumu kujichanua kwa gynecology. Yaani sipendi basi tuu ni lazima inapobidi
Aisee na inipite tu siwezi fanya huo ujinga au ndo Sina ela yaani nikanyanyue miguu ninyolewe na mwanamke mwenzangu [emoji16]labda nipo mahututi
Anayewahudumia anakuwa na junsi kama yako?
Vitu vinavyotumiwa havipatikaniki ili ufanye mwenyewe nyumbani kwako?
Kwani nikikunyoa hayo mavuzi ni dhambi jamani, nakupa offer mama DHalafu utajikuta wewe nawe unajiita mwanaume
Akili zimejaa kunyoa vuzi tuu🙄🙄🙄🙄
Inavyouma hata huo mnara hauwezi kusimama. Kuwa na amani nipe tenda hiyo.
Sawa nipe tenda si hizo ni changamoto za kazini. Mnara ukiinuka nitaongea nao uache fujo.
Naogopa hukumu ya kukuingiza kwenye hayo matendo[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Marko 9:42
“Yeyote atakayemkosesha mmoja wa hawa wadogo wanaoniamini, ingekuwa afadhali kwa mtu huyo kufungiwa shingoni mwake jiwe kubwa la kusagia na kutupwa baharini."
Kila mahali inafanywa kwanzia usoni. Hadi nyusi kwa wale wanaopenda kuzinyoa wachore wenyewe na wanja. Wapeleke wa bebez wako wakapendeze. Wapo wataalamu jinsia za kike wamama kabisa wengine ni wataalamu wa kusomea kabisa.
Mimi ambazo zimekufa kabisa ni vinyweleo vya mikononi na miguuni(maana nilikuwa na mavinyweleo hadi vikawa vinanikera) na hizi zinazopanda kama tumboni hivi (wenyewe wanaita love garden) na hizi za bikin line nimezi dhibiti kabisa hazioti tena.
Kwapa na pengine bado, ila zikiota zinaota lainii kama vinyweleo vile yaani kama vile ndio mtu anaanza kuvunja ungo[emoji23][emoji23].
Nafanya mwenyewe sasa hivi maana nishakuwa fundi.
Wasuguliwaji wenyewe wanasema
Wanasuguliwa kwanza ndio wang'olewe nywele
Wapo na wahudumu wanaume pia simara