Hili la wanawake kwenda salon za kunyolewa nywele za sehemu za siri (Waxing) limekaaje?

SIERA

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
2,789
Reaction score
3,413

We ni mshamba tu uwo utamaduni uko miaka na miaka kabla hata mama yako kuzaliwa
 
We ni mshamba tu uwo utamaduni uko miaka na miaka kabla hata mama yako kuzaliwa

Ukisoma vizuri utagundua sikukataa kwamba mimi ni mshamba
Wala sijui kama huo utamaduni umeanza tangu miaka na miaka kabla mama yangu hajazaliwa

Ila nilichouliza limekaaje?

Na kama unadhani kila utamaduni ulioanza kabla ya mama yako kuzaliwa ni bora basi, nenda kaendelee kupiga kampeni ili mabinti waendelee kukeketwa na kuolewa wakiwa under18🙄🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…