Dahhh
Si lazima vidonge wanaweza kupata injection
Na hiyo injection inaweza kukaa miezi 3,6,9
Hata mwaka mzima ni option ya mtu. Injection is more effective than pills..
Tatizo moja la injection unaweza usipate period. Au damu itatoka kidogo sana .
Inategemea kutoka kwa mtu na mtu ..
Uzuri wa injection ukichomwa hiyo moja basi
Mpaka muda uishe.
Njia nyingine ni hizo za
condom za kike
Condom za kiume.
Diaphragm - lakini hii itafanya kazi ndani ya masaa 24 tu ..
Implants - hii unawekewe kwa kutumia surgery na itakaa kwa muda wa miaka 3 hadi 5.
IUD... hii ni kwa wale ambao wanataka kufunga kizazi kwa muda wa miaka 5-10.
Kila nilicho taja hapo juu kina side effect ..
Ukienda kwa doctor wako wata kueleza kwa
Undani zaidi ..
Kwa hao waname wano chukua hizo pills zina weza kuwa effect ..
size ya mapumbu kupungua, ukuaji wa matiti kuongezeka,
upungufu wa sperm, Upungufu wa misuli, upungufu wa kuaji wa
nywele sehemu za siri na kama umetumia kwa muda mrefu sana
mwanaume ataanza kuoneka kama mwanamke ...