Kel-dizo JF-Expert Member Joined Mar 24, 2015 Posts 423 Reaction score 168 Feb 23, 2017 #1 Mwanaume akizeeka huota upala lakini kwa upande wa mwanamke hali ni tofauti kwanini? Mwenye ufahamu naomba anifafanulie mimi na wenzangu ambao hawana ufahamu juu ya hili swala.
Mwanaume akizeeka huota upala lakini kwa upande wa mwanamke hali ni tofauti kwanini? Mwenye ufahamu naomba anifafanulie mimi na wenzangu ambao hawana ufahamu juu ya hili swala.
Odhiambo cairo JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 15,989 Reaction score 22,078 Feb 23, 2017 #2 Stress au !? Ah sijui
Lokii JF-Expert Member Joined Sep 23, 2016 Posts 709 Reaction score 2,089 Feb 23, 2017 #3 Wanaume ndo think tank ya dunia
Mwafwaa JF-Expert Member Joined Jan 9, 2017 Posts 452 Reaction score 239 Feb 23, 2017 #4 Na mm nasubili