Huwa wanakuwa na akili sanaKwa nini? Mimi ninavyowapenda ma- first born sasa[emoji12]
Kweli kabisa Asq is eqaul to Bsq +CsqPythagoras theorem ni moja ya vitu virahisi sana kwenye mathe.
Sawa wanatengeza miundo mbinu kwa ajili ya neema ya baadaeKuanzia wiki ijayo mgao wa umeme Tanzania nzima
Kwa mujibu wa uislamMasoud kipanya aongeza mke wa nne
Ni kweliHuwa wanakuwa na akili sana
NakaziaKuanzia wiki ijayo mgao wa umeme Tanzania nzima
Kile Chombo Kinakaribia Kuigonga Dunia Sasa Tujiandae Pa KushikaNaskia NASA wamerusha chombo kuelekea kwenye anga la jua?
Hapo SasaComments πππ
Baada Ya Kusikia Elimu Bure Fyatueni Watoto Tu Uchumi Wa Nchi Upande JuuMasoud kipanya aongeza mke wa nne
Semq uyu Mayele uto wamelamba dume
Eti Pisi kali, alichokisema huyu mkulima wa nyanya kina ukweli, au anajimwambafai tu!Wakuu habari za wikendi
Nimekumbuka Kisaa hiki kilinitokea huko nyuma miaka 20 iliyopita.
Nilikuwa nikioata Pisi kali baada ya kuanzisha mahusiano mazuri kuna ilenaanza kupiga stori za ndani ndani zaidi.
Akiniuliza hivi Pythagoras kwenu mko watoto wangapi? Kwakweli hili swali lilikuwa linanikera sana.
Basi nilikuwa najibu hivyo hivyo. Sisi kwetyu tuko watoto 10 na mimi ndio wakwanza.
Baada ya hapo unaona Pisi kali mvuto na wewe unashuka. Unaona kabisa steam imepungua
Hivi family status inahusiana vipi na mapenzi ya watu wawili??