Hili limekaaje kwa dada zetu wapendwa

Hili limekaaje kwa dada zetu wapendwa

IGWE

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2011
Posts
9,578
Reaction score
7,774
Jana baada ya kutoka kibaruani_kama kawaida nikakuta mgao wa umeme umeng'ang'ana,nikaona isiwe taabu acha niende bar ya jiran na ghetto nikapoteze muda hapo na marafiki zangu mpaka saa mbili.Karibu na meza yetu walikaa wadada watatu(seem to be decent and smart) nao wakijiburudisha kivyao,mara simu ya mmoja wao ikaaita na akasikika akisema_'nae huyu haishi bila kupiga cm kila siku,yaani kila siku ni lazima apige cm mara 3 mpaka 5...na sasa sipokei'..,tukasikia rafiki yake akimuuliza kama kamchoka?..yule dada akajibu hapana anampenda sana ila nae kazidi kumpigia cm kila wakati mpaka anamboa.

Yule dada wa tatu akasema"hata mm sipendi mwanaume anaye niganda kila saa-mwanaume mapozi bana,sio kujali kwa kuzidi kiasi_mwanaume awe waruwaru kiasi ndio flesh",...mjadala ukaendelea

My concern;hivi wadada/wapenzi wetu nn hasa mnapenda kutoka kwa wanaume,...maake wengine usimpompigia simu kutwa mzima ni mzozo,na usipo mjali sana napo mzozo,....ni nini hasa upande wenu kwenye hili

nawasilisha
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
kwaupande wangu naona kama mpz wako anakusalimu hata kama kutwa mara 10 as long as unayo fursa yakupokea cm yake sioni tabu,naona raha hasa mpz wangu akinipigia, labda hao kina Dada huyo alopiga ni buzi na mkono wake wa birika anatoa pesa ya vocha tena mpaka umuombe,ndio mana kaonekana mzigo.
 
Yaani mi maadam anayenipigia simu ni mpenzi wangu...........ruksa kupiga muda wowote anaodhani anatamani kuwasiliana na mimi. Furaha yake is my greatest concern.
 
Yaani mi maadam anayenipigia simu ni mpenzi wangu...........ruksa kupiga muda wowote anaodhani anatamani kuwasiliana na mimi. Furaha yake is my greatest concern.


Na ndio inavyatakiwa,....wamenishangaza sana wadada wale,ndio maana nikataka nijue kama vip tupunguze kupiga cm kama zinawakera.
 
mmmh ninavyozitamani hizo simu hata iwe mara mia kwa simu
for the men tht i real love.....nitapokea na kuzifurahia
 
Usiumize kichwa wadada ndivyo walivyoumbwa!

eti eeeeee!...ngoja waje na mitizano yao ili tujuzane,...maake mimi sipendi kabisa haya mapenzi ya kung'ong'ana.
 
I tnk hii ndo tym ya LOVERS kusomana. Mnataka muishije cz kila gal na Guy ana styl yake ya kucondact Love. Kwa mimi cjaona mistake ya demu coz Tatizo is dt HAWAJASOMANA na KUELEWANA kwa undani.
 
wadada wako bar,
watatu peke yao?????

mdada mwenye mashosti wakumpeleka bar easy easy
na wewe huku unapiga simu haipokelewi..
halafu unasema decent???????/
 
wadada wako bar,
watatu peke yao?????

mdada mwenye mashosti wakumpeleka bar easy easy
na wewe huku unapiga simu haipokelewi..
halafu unasema decent???????/

kwa muonekano alivyokua ni kama decent,...lakn sio alwayz what you see is what you get,.
 
Kiukweli kuwasiliana kunakipimo sio any time wanasema 2 humu ili wafurahishe page but like mboga ukila sana inaboa sana. mapenz ukitaka yanoge lazma kuwe na muda wa kufikiriana nn unafanya or anafanya. ndio maana kwa 2lio oa 2nafikia wakati unasafiri ili kumtoa mwenzako machon ili kumuwekea hamu utakapo rud. ila anytime ukiwa online mwaka mkubwa lzm mchengane
 
Usiumize kichwa wadada ndivyo walivyoumbwa!

Umenifumbua macho mtoa mada. Jana kuna mdada alinikalisha sehemu hadi nikaamua kuondoka. Nakuja kumpigia sm asubuhi ananidanganya kuwa sm iliisha chaji, wakati kwa kumbukumbu yangu nilikuwa nampigia hapokei. Leo sitaki mawasiliano naye kabisa
 
Jana baada ya kutoka kibaruani_kama kawaida nikakuta mgao wa umeme umeng'ang'ana,nikaona isiwe taabu acha niende bar ya jiran na ghetto nikapoteze muda hapo na marafiki zangu mpaka saa mbili.Karibu na meza yetu walikaa wadada watatu(seem to be decent and smart) nao wakijiburudisha kivyao,mara simu ya mmoja wao ikaaita na akasikika akisema_'nae huyu haishi bila kupiga cm kila siku,yaani kila siku ni lazima apige cm mara 3 mpaka 5...na sasa sipokei'..,tukasikia rafiki yake akimuuliza kama kamchoka?..yule dada akajibu hapana anampenda sana ila nae kazidi kumpigia cm kila wakati mpaka anamboa.

Yule dada wa tatu akasema"hata mm sipendi mwanaume anaye niganda kila saa-mwanaume mapozi bana,sio kujali kwa kuzidi kiasi_mwanaume awe waruwaru kiasi ndio flesh",...mjadala ukaendelea

My concern;hivi wadada/wapenzi wetu nn hasa mnapenda kutoka kwa wanaume,...maake wengine usimpompigia simu kutwa mzima ni mzozo,na usipo mjali sana napo mzozo,....ni nini hasa upande wenu kwenye hili

nawasilisha

lol....lakini na sie wanaume twatakiwa tujue kipimo jamani, hee...
kupiga simu kila wakati za "upo wapi?, ...na nani?,...nipe nimsikie!" ni dalili za wazimu!
 
Labda mtu mwenyewe anapiga hata story hana... kama mna ya kuongea yanayofurahiwa na wote wawili hata mara mia au usiku kucha mnaongea.
 
Usiumize kichwa wadada ndivyo walivyoumbwa!
Nani aliwaumba hivyo? ( natumaini sio yule Muumba ninayemuwazia mimi, vinginevyo huko nikutaka kusingizia tu)Yaani tabia ya mtu kutopokea simu/kutipenda hicho mpenzi wake anachofanya, uihusishe na kazi ya uumbaji?
 
Huyo dada ana jambo,Kama nampenda hata akipiga kila baada ya dakika tano ntapokea,huwezi kuona anayekupenda anakuganda sana sana utafurahia na kujitoa zaidi kwake.
 
Sidhani kama kuna jibu sahihi.. kuna mapenzi Feki..hivyo hata siku moja wapendanao hawawezi kukubaliana wanataka nini..kwani mmoja wao atakuwa na sababu maalumu ..mara nyingi hela...na huyu atakuwa ameweka vitega uchumi vingi....Lakini pia kuna mapenzi ya kweli lakini pengine ni kweli mmoja wao hapendi hivyo anaona ni dalili za kukosa trust.. Hivyo vitu vyote vinategemea na circumstances..Jibu laweza kuwa Yes au No...
 
me nadhani mapenzi hayana fomula.mtu unaempenda wala hutojua ka unaaznza kumpenda.
utajikutatu, ushampenda.sometime hata sababu ya kumpenda unawea usiwe nayo ila unampenda.
na jinsi mnavyoendesha mahuhsiano yenu inatakiwa kua kitu automatic as mnavyoishi kila siku
hadi mnakuja jikuta kuna namna flai amabayo hua mnaishi.ila
kuuliza et wdad hua wanapenda nini utapata majibu mamilioni hapa na yatakuchnganyatu!
 
Labda mtu mwenyewe anapiga hata story hana... kama mna ya kuongea yanayofurahiwa na wote wawili hata mara mia au usiku kucha mnaongea.

kwani mtu unaweza kupiga simu bila kua na story kweli,.......
 
Back
Top Bottom