Hili limekaaje kwa dada zetu wapendwa

Huyo dada ana jambo,Kama nampenda hata akipiga kila baada ya dakika tano ntapokea,huwezi kuona anayekupenda anakuganda sana sana utafurahia na kujitoa zaidi kwake.

inawezekana ana lake jambo,lakn hapendi kulisema eti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…