Hili limenipita, nielewesheni jamani

Hili limenipita, nielewesheni jamani

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Hivi Ruto na Uhuru wana ugomvi gani? Ruto si Makamu wake na ndiye amemteua? Why not fire him out! These were great friends? Hapa mama yetu akienda kinyume na Mkuu si anaweza akamwachisha wadhifa huo?

Nielewesheni, please!
 
Boss Retired Nachojua Kenya, Kuna muunganiko wa Vyama vya Siasa, Pili bado wanateseka na Ukabila.
Tuombee ya ya Kenya yasitokee hapa kwetu Tanzania.


Hivi Ruto na Uhuru wana ugomvi gani? Ruto si makamu wake na ndiye amemteua? Why not fire him out! These were great friends? Hapa mama yetu akienda kinyume na Mkuu si anaweza akamwachisha wadhifa huo? Nielewesheni, please!
 
Hivi Ruto na Uhuru wana ugomvi gani? Ruto si makamu wake na ndiye amemteua? Why not fire him out! These were great friends? Hapa mama yetu akienda kinyume na Mkuu si anaweza akamwachisha wadhifa huo? Nielewesheni, please!
Kenya wakishakaribia uchaguzi mkuu wanasiasa wote huwa hawaelewani na ikitokea wakajenga urafiki basi ni wa kimaslahi. Si unaona hata Miguna Miguna anahaha kurudi? Mambo ya urais hayo na inaonekana tayari Uhuru kammtosa Rutto kinyume na makubaliano yao.
 
Katiba haimruhusu rais kumfuta kazi naibu wake, lazima waende pamoja kwenye ndoa yao hadi mwisho wa hatamu.
 
Hivi Ruto na Uhuru wana ugomvi gani? Ruto si Makamu wake na ndiye amemteua? Why not fire him out! These were great friends? Hapa mama yetu akienda kinyume na Mkuu si anaweza akamwachisha wadhifa huo?

Nielewesheni, please!
Aliyekwambia rais anaweza kumfire makamu ni nan?
 
Hivi Ruto na Uhuru wana ugomvi gani? Ruto si Makamu wake na ndiye amemteua? Why not fire him out! These were great friends? Hapa mama yetu akienda kinyume na Mkuu si anaweza akamwachisha wadhifa huo?

Nielewesheni, please!
Kwa mujibu wa Katiba ya Kenya 2010, CAP 9, Part 2 Article 150 rais wa Kenya hawezi akampiga kalamu naibu wake isipokuwa kwa sababu za kiafya(kimwili na kiakili). Kumuachisha kazi naibu rais inawezekana tu kupitia mswada wa 'impeachment' bungeni, ambapo wabunge watapiga kura ya kutokuwa na imani na naibu rais. Alafu lazima kura za kufanikisha hatua hiyo ziwe kutoka kwa 2/3 ya wabunge wote.
 
Aliyekwambia rais anaweza kumfire makamu ni nan?
Ndiyo maana nimesema nieleweshe. Kwa hapa inawezekana, mbona Jiwe ame mfire CAG kiana! Katika Africa lolote linawezekena sema Kenya angalau wako juu kidogo on democracy!
 
Ndiyo maana nimesema nieleweshe. Kwa hapa inawezekana, mbona Jiwe ame mfire CAG kiana! Katika Africa lolote linawezekena sema Kenya angalau wako juu kidogo on democracy!
Hawezi kumfire yoyote kama katiba hairuhusu... Tatizo upo kishabiki sana
 
Hawezi kumfire yoyote kama katiba hairuhusu... Tatizo upo kishabiki sana
Kwanini unakuwa na mawazo yako unataka kuya impose kwangu? Kuna indication gani kuwa nipo kishabiki? You must be nuts!
 
We mjinga wa CCM unawaza yatokee sawa kama huku kwetu mnavyobaka democrasia kwenye nchi za watu kuna ustaarabu wake sio huyu anavyoipanda katiba.
Basi naifanya na mama yako ndiye kanipa mtaji, by the way ni hawala yangu! Mimi ndiyo baba yako huyu anayekwambia ni baba yako ni wa kumbambikia!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio utamu wa katiba mpya. Moi angekuwa ameshamfuta kitambo maana enzi hizo ukikohoa mbele ya Moi unapigwa kalamu.
Wakati wa Dikteta Moi kuna waziri aliachishwa kazi kupitia tangazo kwenye 'Radio ya Taifa', KBC. Tena aliyesikia tangazo hilo alikuwa dereva wake. Waziri akawa ametoka kwenye kikao hotelini na wadogo zake kwenye wizara alafu akampata dereva wake anamngoja nje ya gari lake rasmi. Dereva akamueleza kwamba anataka kurudisha gari kwenye ofisi za wizara, waziri alipomuuliza kwanini dereva akamjibu, boss hujapata habari? Mtukufu rais amekupiga kalamu na tayari kuna waziri mpya. [emoji1]
 
Back
Top Bottom