Hili linakuhusu wewe msichana

asanteelimu2016

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2016
Posts
235
Reaction score
127
Sipendi demu anayeomba pesa" kuna wakati huwa najiuliza..nimetongoza mwanamke au nimetongoza OMBA OMBA?
 
Subiri Anaeomba moyo wako. ndo utajua una demu au Israel.
Minasubiri waamke tu, maana hili jiwe limerushwa wakati wamesha lala...[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
tumeshawazoea kulalamika kama wavaa sketi wenzetu, siku hizi tunashindana michambo tu humu Jf. Wahongaji wa kweli wala hawanaga kelele.
Minasubiri waamke tu, maana hili jiwe limerushwa wakati wamesha lala...[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mfundishe kuridhika na alichonacho.
 
Jamani kwa kweli inanishangaza inakuwaje mwanaume mzima unaogopa kuhonga? kuhonga ndiyo uanamume mkuu.
Endeleeni kudanganyana eti kuhonga ndiyo uanamume, na malaya wengi wakishajua una akili fupi kama hizo wanaishia kukuchuna na kukuita buzi

Moja ya sifa za mwanaume ni show kali, kuitunza na kuilinda familia yake...

Hakuna sehemu yeyote duniani mwanamme husifiwa au kutuzwa kwa kuhonga, kijana badala ya kutengeza familia imara unaishia kutengeneza sifa za kijinga kwa ajili ya kusifiwa na wajinga
 
Kula LIKE KUBWAAAAA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…