Me mwenzenu roho inaniuma kila nisikiapo kati ya watoto kumi wa darasa la kwanza hadi la saba wawili hawajui kusoma wala kuandika. sisi mbona tunajua vyote kwa nini tusiwafundishe.
Jamani walimu wana mzigo mkubwa sana, kwa hili wanaitaji msaada wetu wewe kama mzazi,mlezi, dada, kaka sikia wazo langu tuwape support hawa watoto.
WAZO
Kwa kila mwanajamii forum kwa kata yake ajaribu kupunguza au kuondoa hizi data hadi mwaka huu unaisha, kama inawezekakana twende kwenye shule za msingi za kata zetu tuwaombe tujue idadi ya wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika, then twende kwa wazazi na walezi wao tuombe support ya vifaa yaan pensel na madaftari mawili tu vitatosha kuwatoa hawa watoto kwenye huu ujinga pia tuwaombe masaa kama mawili ya ziada tuwafundishe, watoto wawili wawili
wanatosha maana nahisi hawa wanahitaj msaada maalum.
MDAU WA ELIMU
Jamani walimu wana mzigo mkubwa sana, kwa hili wanaitaji msaada wetu wewe kama mzazi,mlezi, dada, kaka sikia wazo langu tuwape support hawa watoto.
WAZO
Kwa kila mwanajamii forum kwa kata yake ajaribu kupunguza au kuondoa hizi data hadi mwaka huu unaisha, kama inawezekakana twende kwenye shule za msingi za kata zetu tuwaombe tujue idadi ya wanafunzi wasiojua kusoma na kuandika, then twende kwa wazazi na walezi wao tuombe support ya vifaa yaan pensel na madaftari mawili tu vitatosha kuwatoa hawa watoto kwenye huu ujinga pia tuwaombe masaa kama mawili ya ziada tuwafundishe, watoto wawili wawili
wanatosha maana nahisi hawa wanahitaj msaada maalum.
MDAU WA ELIMU