HahahaTanzania tuna jicho kila Sehemu
Leo hii kuna Waethiopia wamedakwa wanaelekea SouthAfrica kupitia Tanzania.
Hii ni effective Government ndio maana tunawanasa.
Ukifika E3-Nairobi ndio utaamini Kunyaland ina kiwanda cha Alshabaab
Tuliwashikia huku kenya, na polisi wa Kenya... Mbona huko kwenu hamkuwashika kabla wavuke mpaka?? Kumbuka, tusipowashika au kuwamaliza huku, Iko siku moja watarudi huko Tz baada ya kupata mafunzo kule Somalia.... Watakua wamepata ujuzi wa kila aina na hawajui wafanye nini na huo ujuzi manake vita vimeisha kule Somalia... Wakisharudi huko TZ wataanza kutafuta vijisababu vya kijinga ili wanze kuleta vurugu.... vivyo ndo haya mambo huanza..Je walishikwa hawakushikwa??
OverNyumba kumi tulijaribu Kenya tukashindwa. Sisi hatuna udaku na upekuzi wa kike kama nyie.
Nyumba kumi tulijaribu Kenya tukashindwa. Sisi hatuna udaku na upekuzi wa kike kama nyie.
Nimeishi ulaya na marekani, hakuna watu wanaofuatilia wengine kama hawa jamaa.
Kama unabisha wakukamate na kisanga, halafu utaona jinsi watakavyokufungulia na kukusomea file lako.
[emoji16][emoji23][emoji1787]