KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Habari zenu wakuu?
Jambo hili nimejifikiria ni kama linaugumu fulani hivi lakini nikaona nije nishirikishe vichwa vyengine zaidi.
Jambo lenyewe ni;
Binadamu anaweza kuihamisha dunia kutoka kwenye muhimili(orbit) yake?
Kama anaweza ni kivipi/kwa njia ipi?
Ni hivyo tu.
Karibuni
Jambo hili nimejifikiria ni kama linaugumu fulani hivi lakini nikaona nije nishirikishe vichwa vyengine zaidi.
Jambo lenyewe ni;
Binadamu anaweza kuihamisha dunia kutoka kwenye muhimili(orbit) yake?
Kama anaweza ni kivipi/kwa njia ipi?
Ni hivyo tu.
Karibuni