Hili litawashangaza wanawake………!

...mtambuzi acha kuwatisha wake zetu bana, wikiendi inaharibika huku mkuu!
 
Mwanaume pedezyee anatia presha sana tu, wengi wao ni vicheche balaa, wengine wanafundishwa ukicheche na mapedezyee wenzao.
 
mtambuz jamni mbona unaniogopesha so utanifanya nisimkubali mtu

Nilisema watano kati ya kumi.............yawezekana utakayempata atakuwa upande uliosalimika
 

hahaha...she's you biggest fan, eti kila siku lazima akusome!...haya bana...

Kuna wakati naweka thread za kuwapiga virungu wanawake humu JF, Je huzichukuliaje?.............. Nadhani huo ndio wakati wako wa kumgeuzia kibao.........LOL
 
Reactions: Mbu
Mwanaume pedezyee anatia presha sana tu, wengi wao ni vicheche balaa, wengine wanafundishwa ukicheche na mapedezyee wenzao.

no pain no gain! Na mapedezyee weng ma cariers upo hapo?
 
Ureekaaaaaaaaaaa my muke wangu hayupo JF!!
 
Mtambuzi,

Tunaomba utupe link inayotupeleka kwenye report ya huo utafiti! Lengo la utafiti ilikuwa ni nini? Acheni uzushi na kujilisha upepo. Tabia mbaya kama mnazo msitumie JF kuhalalisha uozo wenu na kuwabambikia watu wote, eti utafiti umefanyika!!
 
this is s very good thread....
 
Jamani shetani kafanya kazi kubwa, sasa hivi hao makahaba hawana shoo/ladha, wanaume sikuhizi wanakula wanaume wenzao tena wanafurahi tendo hilo kuliko kwa wake zao au hao mnaofikiri ni Makahaba.

Sasa sisi akina mama tunapambana na wezi wetu wanawake siku limekufika unakuta wako anakua houseboy sijui utakamatana na mwanaume kakuchukulia mume!

GOD HAVE MERCY!!!!!
 
Pesa mwanaharamu yakhe! Unashangaa pedejee kuopoa kahaba? wengine wanakulana viboga na midume wenzao!!
 
tulipofika ni pabaya hata shetani anatuogopa
 
thanks kipipi na tunaamini money is everything!!?
Pesa mwanaharamu yakhe! Unashangaa pedejee kuopoa kahaba? wengine wanakulana viboga na midume wenzao!!
 
Hata mie nilihisi tu kuwa hizo takwimu Mtambuzi kazichakachua.............labda kama atakuw ame-base kwenye vigezo vya Kimagharibi..................

Katika eneo hili la mapenzi kuna watu humu wana hasira sana. Sipati picha huko makwao maisha yakoje?
 
Mumeo akiwa na mapesa, kuwa mpole ukijifanya njuaji utaishia kunawa kila siku, kwikwikwikwiiiii! Na ndoa itaota mabawa pia
 
Jamani kina dada, sisi wanaume ni 'watoto wakubwa' tuchukulieni taratibu na kwa stah. Maumivu ya nyuma kamwe usiyahusishe na maisha yako mapya. Ukifanya hivyo utajikuta siku zote unamchukia mumeo tofauti na ulivyoapa mbele ya kiongozi wako wa dini siku mliooana.

Ila kumbukeni usemi wa mwanamke mwenzenu: 'wawili wanapooana, mwanamke huamini mwanaume atabadilika huku mwanaume anaamini mwanamke hatabadilika'. Ifikirieni hii kauli ya mwanamke mwenzenu, ina maana kubwa sana ktk mahusiano ya wawili ambao tayari wako ndani ya ndoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…