L. Forward
Member
- Jul 11, 2015
- 16
- 2
Hivi nikweli matokeo hayatoki kwa mwanafunzi ambaye mathalani alifanya mitihani yote ya chem& A.maths lakini ktk phys akawa hakuweza kufanya practical tu' kutokana na ugonjwa wakati anamalizia mitihani?? Naombeni msaada wenu............