Hili nalo liwe ktk maajabu ya msingi yanayopatikana tanzania

CHAMVIGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
7,687
Reaction score
2,240
Ukiachilia mbali mlima kilimanjaro ambao umeingizwa ktk maajabu yanayopatikana Tanzania, serikali ingeingiza na hili la wanafunzi zaidi ya 5000 waliomaliza std 7 na wamechaguliwa kujiunga na secondary na hawajui kusoma na kuandika bila shaka tungeshinda.
 
Ajabu jingine Raisi anaeishi mda mrefu nje kuliko nchini kwake aki2mia mabilion ya pesa na ku-upload picha zake na kina Beckham, 50Cents, Steven Segal, B.Boys n.k huku nchi ikiwa ya 3 kwa umaskini. Hili ajabu kama sio #1 bac #2
 
Ajabu jingine Raisi anaeishi mda mrefu nje kuliko nchini kwake aki2mia mabilion ya pesa na ku-upload picha zake na kina Beckham, 50Cents, Steven Segal, B.Boys n.k huku nchi ikiwa ya 3 kwa umaskini. Hili ajabu kama sio #1 bac #2
hili nalo neno!
 
Jingine ambalo lingeingizwa ni Polisi wa Tanzania kuua raia nadhani tungepata zawadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…