Hili nalo neno!!!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Mwanaume kwa mke wake ni simba, ila kwa hawara ni TEJA!!!!πŸ˜›out::A S 13::A S 13::A S thumbs_down:
 
ha ha ha ha ha.....kweli kabisaa......inauma aisee!
 
kakakiiza hilo nalo neno!! tunawaombea neema ya Mungu wabadilike waachane na nyumba ndogo
 
Ni kweli kabisa,unakuta mwanaume haachi hela hata ya mboga nyumbani ila kwa nyumba ndogo anajaza vyakula mpaka vinaharibika kwa kukosa watumiaji.
 
KK , hili nalo neno, tena teja la kujidunga
 
Kabisa tena Teja lenyewe si mchezo bila hiyo kitu ni so
 
Mwanaume kwa mke wake ni simba, ila kwa hawara ni TEJA!!!!πŸ˜›out::A S 13::A S 13::A S thumbs_down:

Msikie huyu anavyosema!!!!


 
Last edited by a moderator:
Wanaume wako tofauti sana wengine unajua kabisa ana nyumba ndogo ila akirudi home mdogo kama piriton, yaani hata masingi wamtia ukitaka,naona wanaangalia na mtu wa kumletea ukali, lol
yaani anicheat halafu awe mkali nani kasema!
 
Wanaume wako tofauti sana wengine unajua kabisa ana nyumba ndogo ila akirudi home mdogo kama piriton, yaani hata masingi wamtia ukitaka,naona wanaangalia na mtu wa kumletea ukali, lol
yaani anicheat halafu awe mkali nani kasema!

Samahani haya MASINGI ndiyo madubwana gani haya?
 
ha ha ha ha ha.....kweli kabisaa......inauma aisee!

Inauma sana wa kwetu..kwi kwi kwi, ila bado my hasband wangu ni teja kwangu..ama sote tu mateja to each other 'for today' maana sijui ya kesho
Mhandisi
 
Samahani haya MASINGI ndiyo madubwana gani haya?
Kumtia m2 singi,ni ktendo cha ku2mia kiganja chako huku vdole vyako vikiwa vimenyooka na kukisukuma kichwa cha mtu.karibu sana uswazi ujfunze mengi
 
Mhh we K unashauri wadada wawe nyumba ndogo sio :A S 13::A S 13::A S 13:
 
Samahani haya MASINGI ndiyo madubwana gani haya?

Huo ni mfano tu na veve, na sio kama ni kweli. kwani niliposema mdogo kama piriton ni kweli anakuwa hivyo? piriton waijua nayo?
 
Mwanaume kwa mke wake ni simba, ila kwa hawara ni TEJA!!!!πŸ˜›out::A S 13::A S 13::A S thumbs_down:

unajua kuwa kwa hawara kupo hot then huduma zisipo kaa sawa, unakula msala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…