Hili nalo ni Kaburi ati!!

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,131
Reaction score
937
Na hapa napo tabu kweli sisi ambao tulizaliwa katika nyumba za udongo, tukaishi kwenye nyumba za udongo..na hata mababuri yetu si shaka ni mwendo huo huo wa udongo,.... hukumu sijui ipoje bana kama marehemu anaruhusiwa kutembelewa na kupiga na "brin' brin" kaburini kama hivi...










E Bwana kama wewe ungehesabu maovu......
 

Attachments

  • funny-gipsy-grave.jpg
    38.9 KB · Views: 697
  • gipsy-grave.jpg
    42.7 KB · Views: 609
  • hilarious-gipsy-grave.jpg
    36.6 KB · Views: 590
Hhehe hhe hii sasa kufuru na huo Ulabu pia duh!!
 
Hilo kaburi ni kazi kweli Wapi huko Mkuu Ngoshwe?
 
Yaelekea huko hamna vibaka wafukua makaburi
 
kuna toilet kweli? alafu naona kama juu papo wazi!
Sipati picha elninho ikiteremka.
 
Yaelekea huko hamna vibaka wafukua makaburi

Mkuu umenena, ingekuwa ni Kinondoni hapo kesho yake lingekuwa jeupeeee!! Hadi marehemu anavuliwa suti!! Na mashada ya maua kama hujachoma moto kidogo kuyanyaua ujue ni biashara hiyo!!!
 
kweli kabisa nani ang'esimama!
 
Yaani wa Bongo wezi??? wewe Pearl si upo Tanzania na wewe Mwizi? Mimi ninachojua wabongo sio wezi wazungu ndo wezi
 
Hii sas ni kufuru iliyopindukia. Kweli mwisho wa Dunia umefika sasa. kesheni Muombe Maana hamjui siku wala saa atakayokuja Mwana wa Adamu.

Roho i radhi lakini Mwili ni dhaifu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…