kuku dume
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 414
- 62
Jamani kila mara huwa natafakari nashindwa kuelewa.
Nilipokuwa darasa la saba pale Mandaka yalitokea mauaji ya mume wa mpishi wetu wa shule. Nilisikia kwamba aliuwawa na wapenzi wa mke wake na mara nyingine nikasikia kwamba aliuwawa na watu walioandaliwa na mke wake maana alikuwa kizuizi cha yeye kufanya mambo yake.
Sio hilo tu ila ninauchungu kwa kuwa kuna jambo la namna hii lililowahi kuikumba familia yetu.
Jamani ninachotaka kuulizo ni kwamba Je, mtu anaweza kukuambia anakupenda kumbe wala hana hisia kama hizo kwako? Binafsi nahisi kwamba anaye fikisha ombi la kupenda ndiyo mpendaji. Huyo mwingine siamini kama kweli anakuwa mpendaji.
Ebu fikiri yalivyo mapenzi ya siku hizi. Fedha, magari, beautness, nyumba vinanguvu ya kuhamua wa kuwa naye badala ya true love.
Napatwa na wakati mgumu nikifikiria wakati wangu wa kuwa na mtu utakapofika.
Sijui dunia ikoje. Sifahamu itakuwaje.
Nilipokuwa darasa la saba pale Mandaka yalitokea mauaji ya mume wa mpishi wetu wa shule. Nilisikia kwamba aliuwawa na wapenzi wa mke wake na mara nyingine nikasikia kwamba aliuwawa na watu walioandaliwa na mke wake maana alikuwa kizuizi cha yeye kufanya mambo yake.
Sio hilo tu ila ninauchungu kwa kuwa kuna jambo la namna hii lililowahi kuikumba familia yetu.
Jamani ninachotaka kuulizo ni kwamba Je, mtu anaweza kukuambia anakupenda kumbe wala hana hisia kama hizo kwako? Binafsi nahisi kwamba anaye fikisha ombi la kupenda ndiyo mpendaji. Huyo mwingine siamini kama kweli anakuwa mpendaji.
Ebu fikiri yalivyo mapenzi ya siku hizi. Fedha, magari, beautness, nyumba vinanguvu ya kuhamua wa kuwa naye badala ya true love.
Napatwa na wakati mgumu nikifikiria wakati wangu wa kuwa na mtu utakapofika.
Sijui dunia ikoje. Sifahamu itakuwaje.