Hili ndilo fumbo la kifo

Sijaribu kujenga hoja ni maelezo zaidi kwako kufahamu juu ya Los Angeles na California
Mkuu una moyo kunyufu sana
Maswali yake sehemu ya kutolea haja kubwa
Umemfafanulia mambo ambayo kujua lazima ikugharimu....nk
Mimi ningempakaza tu!
 
thread yako inataka tufanyaje tusiogope kifo hakuna binadamu asieogopa kifo even mwana wa Mungu mwenyewe alimuomba Mungu msalabani sembuse sisi binadamu tutaogopa na kukimbia kifo kwa namna yoyote hadi pale itakapotubidi
Wewe sio msemaji wa watu wote ulimwenguni, sema wewe ndiyo unaogopa kifo kwasababu watu wamejitolea kufa katika siasa, katika dini zao na haki zao nyingine za msingi.
 
Wewe sio msemaji wa watu wote ulimwenguni, sema wewe ndiyo unaogopa kifo kwasababu watu wamejitolea kufa katika siasa, katika dini zao na haki zao nyingine za msingi.
wanajitolea kufa lakini haimaanishi hawaogopi kufa
 
Ukisema miaka 150 ni sawa,

Michael Jackson wa kwanza aliishafariki, wakatengeneza Michael mwingine, mwili ulionyeshwa polisi na mbwa wa Michael walipoenda shambani kwake, kulikuwa na skendo iliyopelekea polisi kuingia mle, wakafukua wakakuta mifupa na koti lake la wako jako, wakaficha ficha ikapita.


Wakamchonga mswahili mmoja pua akawa Michael Jackson kweli kweli,


Akiwa kwenye harakati za kwenda Shoo huko London, kumbe ile pua ishaakataa, mgonjwa, wanataka wachonge Michael Jackson wa tatu ili aende kwenye shoo,

Mara paapu, Michael Jackson wa pili kafa, Jenet bila kujua kapiga kelele, mchongo ukaishia hapo.

Kwetu huku la muhimu ni kulinda afya tu, mali tutafute ila is nothing.

Hawa tuliozaa ni wachache wanaoweza kutunza mali
 
Fafanua vizuri. Kuna ka utamu kanakuja hapa.
 
Heading ya thread iko very interesting ila contents hazina jipya wala mvuto.
 

Nikitaka kisema habari hii mpya! Kwa england nasemaje?
 
Madaktari toka Los Angeles na California huh?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…