Hili ndilo kosa kubwa linalovigharimu vyama vya upinzani Tanzania

Hili ndilo kosa kubwa linalovigharimu vyama vya upinzani Tanzania

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Kuna kosa moja kubwa linavigharimu vyama vya upinzani Tanania. Na kosa hilo limekuwa kama mwiko kulizungumza. Ni kuwa vyama vya upinzani havijabalance mizani ya dini ndani yake.

Ni mwiko na hatari kuchanganya dini au ukabila na siasa. Lakini kwenye siasa halisi huwezi kuepuka kuadress hayo mambo. Ni masuala ambayo mwanasiasa na chama chochote cha siasa lazima iyabalance. CCM imeviacha mbali sana vyama vya upinzani kwenye suala hilo. Na hii ni moja ya sifa bora ya CCM.

Chama cha CUF kilivuma na kuwa na nguvu kama chama cha upinzani. Lakini bahati yake mbaya kilikosa kubalance suala la dini. Kikaishia huko. CDM kilikuwa na bado kina nguvu lakini hakiwezi kufika popote na kitapotelea huko sababu kimeshindwa kubalance suala la dini ndani yake.

ACT nao hivyo hivyo(Japo kiukweli hawa wanaonyesha jitihada). Chama ambacho kitaweza kurekebisha kosa hili bila unafiki. Na wananchi wakaona hilo ndicho kitakachoing'oa CCM.
 
CCM wanashinda kwa wizi wa kura.


Uchaguzi ukiwa wa huru bila wizi wa kura CCM 2025 wanatoka madarakani.
 
Ccm haing'olewi kamwe kwa sanduku la kura
 
Kuna kosa moja kubwa linavigharimu vyama vya upinzani Tanania. Na kosa hilo limekuwa kama mwiko kulizungumza. Ni kuwa vyama vya upinzani havijabalance mizani ya dini ndani yake.

Ni mwiko na hatari kuchanganya dini au ukabila na siasa. Lakini kwenye siasa halisi huwezi kuepuka kuadress hayo mambo. Ni masuala ambayo mwanasiasa na chama chochote cha siasa lazima iyabalance. CCM imeviacha mbali sana vyama vya upinzani kwenye suala hilo. Na hii ni moja ya sifa bora ya CCM.

Chama cha CUF kilivuma na kuwa na nguvu kama chama cha upinzani. Lakini bahati yake mbaya kilikosa kubalance suala la dini. Kikaishia huko. CDM kilikuwa na bado kina nguvu lakini hakiwezi kufika popote na kitapotelea huko sababu kimeshindwa kubalance suala la dini ndani yake.

ACT nao hivyo hivyo(Japo kiukweli hawa wanaonyesha jitihada). Chama ambacho kitaweza kurekebisha kosa hili bila unafiki. Na wananchi wakaona hilo ndicho kitakachoing'oa CCM.
Suala la dini ni dogo sana, reality is kwa wananchi wa kawaida no body cares kiasi hiko.
vyama vya upinzani vinaangushwa na jambo moja common sana, umoja. Ndani yao hawana umoja, na si sababu ya dini ila ni maslahi.
Wakiweza resolve conflict ya maslahi kwa ndani watajenga umoja usiosambaratika
 
Kuna kosa moja kubwa linavigharimu vyama vya upinzani Tanania. Na kosa hilo limekuwa kama mwiko kulizungumza. Ni kuwa vyama vya upinzani havijabalance mizani ya dini ndani yake.

Ni mwiko na hatari kuchanganya dini au ukabila na siasa. Lakini kwenye siasa halisi huwezi kuepuka kuadress hayo mambo. Ni masuala ambayo mwanasiasa na chama chochote cha siasa lazima iyabalance. CCM imeviacha mbali sana vyama vya upinzani kwenye suala hilo. Na hii ni moja ya sifa bora ya CCM.

Chama cha CUF kilivuma na kuwa na nguvu kama chama cha upinzani. Lakini bahati yake mbaya kilikosa kubalance suala la dini. Kikaishia huko. CDM kilikuwa na bado kina nguvu lakini hakiwezi kufika popote na kitapotelea huko sababu kimeshindwa kubalance suala la dini ndani yake.

ACT nao hivyo hivyo(Japo kiukweli hawa wanaonyesha jitihada). Chama ambacho kitaweza kurekebisha kosa hili bila unafiki. Na wananchi wakaona hilo ndicho kitakachoing'oa CCM.
Ulilenga vyama vyote au cdm
Maana hela za mama Abdul zinafanya kazi kuizua wa dini Ile waonekane hawafai kushindana

Hii ni zamu yao wasipongwe
 
Ccm haing'olewi kamwe kwa sanduku la kura
Ukiwa na chama kinachokubalika na wananchi wote huwezi kushindwa kwa hila hata chama tawala kiwe na nguvu ya dola kiasi gani.
 
Ukiwa na chama kinachokubalika na wananchi wote huwezi kushindwa kwa hila hata chama tawala kiwe na nguvu ya dola kiasi gani.
CCM ni chama cha mapinduzi, elewa neno "mapinduzi".

Njia pekee itakayoiondoa CCM madarakani ni "mapinduzi", tofauti na hapo hakuna namna, labda utokee muujiza wa Mungu, ila kibinadamu ukweli ndo huo.
 
Kuna kosa moja kubwa linavigharimu vyama vya upinzani Tanania. Na kosa hilo limekuwa kama mwiko kulizungumza. Ni kuwa vyama vya upinzani havijabalance mizani ya dini ndani yake.

Ni mwiko na hatari kuchanganya dini au ukabila na siasa. Lakini kwenye siasa halisi huwezi kuepuka kuadress hayo mambo. Ni masuala ambayo mwanasiasa na chama chochote cha siasa lazima iyabalance. CCM imeviacha mbali sana vyama vya upinzani kwenye suala hilo. Na hii ni moja ya sifa bora ya CCM.

Chama cha CUF kilivuma na kuwa na nguvu kama chama cha upinzani. Lakini bahati yake mbaya kilikosa kubalance suala la dini. Kikaishia huko. CDM kilikuwa na bado kina nguvu lakini hakiwezi kufika popote na kitapotelea huko sababu kimeshindwa kubalance suala la dini ndani yake.

ACT nao hivyo hivyo(Japo kiukweli hawa wanaonyesha jitihada). Chama ambacho kitaweza kurekebisha kosa hili bila unafiki. Na wananchi wakaona hilo ndicho kitakachoing'oa CCM.
Tanzania hakuna chama cha upinzani.
 
CCM ni chama cha mapinduzi, elewa neno "mapinduzi".

Njia pekee itakayoiondoa CCM madarakani ni "mapinduzi", tofauti na hapo hakuna namna, labda utokee muujiza wa Mungu, ila kibinadamu ukweli ndo huo.
Huwezi kufanya mapinduzi yakadumu bila kuwa na nguvu ya wananchi wote nyuma yako. Utazaa machafuko tu. Ni kama yale mapinduzi yaliyopelekea vita ya Biafra.
 
..mbona Mama Abdul haja-balance baraza la mawaziri na kuteua 50% Waislamu?

..vipi kuhusu wakuu wa mikoa, wilaya, ras, das, wote hao Ccm na Mama Abdul wameteua 50% Waislamu?
 
Back
Top Bottom