Taifa ambalo msumeno wa sheria unakata wanyonge tu.
Taifa ambalo kiongozi wake mkuu ni mtalii.
Taifa ambalo serikali yake inasajir vyama lukuki na vinapopata umaarufu inauwa wafuasi wake kwa mabomu.
Taifa ambalo serikar yake haijali haki ya za bnadam