Basi mimi nilidhani timu kibonde ni ile ambayo katika mechi zake mbili ilizocheza imefunga goli 1 pekee! Tena nasikia ni la penati!!Kwenye michuano hii timu kibonde pekee ni yanga
Vipi ile iliyokandwa goli nyingi kuliko timu zote?Basi mimi nilidhani timu kibonde ni ile ambayo katika mechi zake mbili ilizocheza imefunga goli 1 pekee! Tena nasikia ni la penati!!
Zinazidi zile βVipi ile iliyokandwa goli nyingi kuliko timu zote?
yes ndio jumla yanga magoli aliyofungwa ya hadi hivi sasa βZinazidi zile β
Wewe jamaa wewe unanifurahishaga san na majib yako kwa makoloZinazidi zile β
Halafu Utawasikia utopolo wakideka 'Tumepangwa kundi gumu'
Athari za AFL timu kubwa zimechoka balaa angalia zote matokeo yake ya kusuasua.Mwakahuu sijui timu zimekuwa vibonde au zile zilizokuwa vibonde ndio zimejipata zinawasumbua wakubwa?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Yanga ni underdog kwenye mashindano na kwenye kundi kwa matokeo aliyonayo siyo ya kushangaza sana angekuwa na matokeo positive ingeshangaza.lakini yanga hawakushiriki mkuu
Kumbe goli la penati sio goliBasi mimi nilidhani timu kibonde ni ile ambayo katika mechi zake mbili ilizocheza imefunga goli 1 pekee! Tena nasikia ni la penati!!
Sana kama la asec rahisi mno angekuwepo mamelody hapo angekuwa na point 9Kwanini? Unamaanisha makundi mengine ni rahisi?
timu kongwe AFL imezichosha sanaMwakahuu sijui timu zimekuwa vibonde au zile zilizokuwa vibonde ndio zimejipata zinawasumbua wakubwa?π€π€π€π€π€π€π€πππππππ
Uliposoma hayo maelezo yangu, umeona kuna mahali nimeandika goli la penati siyo goli?Kumbe goli la penati sio goli
Naona makolo mnataka kujificha katika kichaka cha AFL? Wakati mlitolewa mapema kabisa na bado mpka NBC premier ligue bado mnaendeleza uozoAthari za AFL timu kubwa zimechoka balaa angalia zote matokeo yake ya kusuasua.
Hazikupata maandalizi ya kutosha na uchovu wa akili na mwili wa hicho kitonament.
Timu zote zilizoshiriki ziko hoi bin taabani kasoro Atletico tu