Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Mimi sio mghana kwanini nianze kumchukia Suarez?
Angepambana uwanjani sio langoni kudaka mpira kwa mikonoHakuna kosa hapo, ni ujinga wenu waafrika kupenda mtelezo , mtu anapambana nchi yake isonge mbele , alafu mnamchukia Kwa lipi? Haya mawazo mgando sjui yataisha lin
Kwan hapo hakuwa uwanjan? Yaan unampangia mtu cha kufanya Kwa ajil ya nchi yake ?? Urugway ilikuwa kwenye extreme danger to be eliminated and only Suarez made a last stand to save his country and effectively his magic decision sent Urugway to semi final na kuwaacha waafrica tukifungasha vilago....waafrika tupunguze mambo mtelezoAngepambana uwanjani sio langoni kudaka mpira kwa mikono
Asipoelewa na hapa ndo basi tenaKwan hapo hakuwa uwanjan? Yaan unampangia mtu cha kufanya Kwa ajil ya nchi yake ?? hzi ni akli za usiku kabisa, istoshe alichokifanya effectively kiliipeleka nchi yake semi final...waafrika tupunguze mambo mtelezo
Bila shaka wewe ni shabiki wa Ghana na Man UBila shaka ww ni shabiki wa liva tu
Hapo mm ndio napoumia zaidi na matukio yake ya kung'ata wachezajiUmesahau na alivyombagua Patrice Evra.
Kilicho sikitisha ni kwa Asamoa kukosa penalti na sio Suarez kudaka mpira
Hapo mm ndio napoumia zaidi na matukio yake ya kung'ata wachezaji