laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
Mataaaaako ya mamakoChoko la jf Work
Mawazo ya kijinga sana hayo ila kuna mijitu ya ajabu ajabu itaiba idea yako.
Una dhalilisha elimu yako yani mimi ningekuwa rafiki yako halafu nakukuta unauza mboga aisee nakukataa mchana kweupe na siku hiyo hiyo urafiki unaisha
Ukijifanya elimu élimu utaishia kukaa na vyeti, halafu huna chochote had hela ya kunyolea ndevu unaomba kwa babaako, Ni aibu aisee. Upande wangu wazo zuli ila mm Dar ckufahamu vizur kama c kabisa, nadhani wanaokufahamu watakushauli mkuuMawazo ya kijinga sana hayo ila kuna mijitu ya ajabu ajabu itaiba idea yako.
Una dhalilisha elimu yako yani mimi ningekuwa rafiki yako halafu nakukuta unauza mboga aisee nakukataa mchana kweupe na siku hiyo hiyo urafiki unaisha
baba nimecheka aiseeeeeeeeeeeeeMawazo ya kijinga sana hayo ila kuna mijitu ya ajabu ajabu itaiba idea yako.
Una dhalilisha elimu yako yani mimi ningekuwa rafiki yako halafu nakukuta unauza mboga aisee nakukataa mchana kweupe na siku hiyo hiyo urafiki unaisha
Safi sana ndg. Nimesoma comment za watu juu ya wazo lako. Nikichogundua kuna watu wabinafsi, wenye dhalau ila wengi ni waungwana sana. Ukifuatilia matajiri wengi wameanza na biashara ndogondogo sana kama hizi kwaiyo usikate tamaa chukulia wale wanaokukatisha tamaa ndio iwe hamasa kwako. Usitegemee unapoweka wazo mbele za watu wengi wote watakupa moyo. Mimi binafsi naona aina ya wateja unaotakiwa kuwa target ni mahotelini na migakawa pia mama lishe. Mfano ili kutafuta soko fanya hivi. Chukuwa sample mfano kontena kama 50 ivi kisha weka namba za simu anza kwenda kwenye hotel mbalimbali, mama lishe unafika pale unatangaza biashara yako na unaacha kontena moja kama sample. Baada ya hapo unajaribu kumshawishi umletee mbogamboga kesho yake kama ameridhika. Lakini pia jaribu kuajiri mtu ili uwe unahakikisha kila siku una sambaza mzigo yani wakati wewe unaenda kuuza yeye anafanya mpango wa kuleta mboga zingine kwa maandalizi. Usikubali eti leo unapeleka mzigo kesho hupeleki kwa sababu ya kuandaa hapo utapoteza wateja na unaongeza ushindani mana hii ni weakness mojawapo. Kwaiyo hakikisha kama unaenda kutekeleza wazo hili unakuwa kila siku unasambaza mbogaHabari wana jF,
Mimi ni kijana baada ya kukaa sana mtaani bila kazi ya kueleweka japokuwa nina kijielimu kangu kutoka college moja hapa mjini nimeamua kuja na wazo langu la biashara kwa ajili ya kulifanyia kazi?
Lengo la kuweka uzi huu hapa ni kwa ajili ya michango ya kimawazo katika kuliboresha wazo hilo ambalo mimi au hata mtu mwingine anaweza akalitumia na likamtowa sehemu moja na kumpeleka sehemu nyingine.
Wazo lenyewe:
Kuuza Mboga za majani.
Ukiliangalia kwa haraka inaweza likaonekana ni wazo flani hivi la kipuuzi sana. Pia inaweza isikuingie akili kama kweli muhitimu wa chuo anaweza kufanya hiyo biashara. Lakini ndio wazo ambalo mimi nimekaa na kuja nalo.
Mchakato utakavyokuwa:
Jinsi nitakavyokuwa nafanya ni rahisi sana nitakuwa na nunua mboga za majani then nazikatakata halafu nazipaki kwenye vikontena. Ndani ya kikontena kimoja kutakuwa na mboga ya majani iliyooshwa taya na kukatwa katwa pia kutakuwa na kitunguu ambacho tayari kimeshakatwakatwa na pia kutakuwa na tangawizi ambayo tayari imeshasagwa.
Nb: Kitunguu na tangawizi kila kimoja kitakuwa kimehifadhiwa peke yake then vinawekwa ndani ya kikontena cha mboga ya majani. Bei nita idetermine kwa kutumia method inayoitwa Cost based price.
Usambazaji:
Njia ya usambazi nitakuwa nasambaza mimi mwenyewe kwa njia ya kutembea nyumba hadi nyumba. Yaani kwa kifupi nitakuwa nachagua mtaa wa kudeal nao kwa siku hiyo. Kama itakuwa ni Mikocheni maana yake nitachaguwa kimtaa cha ndani ya Mikocheni na kuuza biashara yangu. Then kwenye kila sehemu ninayouza biashara yangu nitaacha mawasiliano kwa ajili ya kumpelekea bidhaa kama ikitokea siku akiihitaji.
Changamoto nizionazo mpaka sasa ni kutokujuwa gharama halisi za package za plastiki ni shillingi ngapi itakuwa vizuri kama ukiweka na picha pamoja na bei zake kama unazifahamu.
Udhalishaji.
Nimepanga kama ikiwezekana kwa kila ninapoingia sokoni kuuza biashara yangu natakiwa kwenda sokoni na vikontena mia moja na kumake sure vikontena vyote vinaisha ndani ya siku moja.
Nakaribisha mawazo ya kujenga na hata wale wa kukejeli pia nawakaribisha maana naamini yule anayekukejeli au kukusema ndio anakujenga.
Karibuni sana wakuu
Nakujuze tu Kwamba wazo lako ni nzuri umefanya la maana kulileta hapa hivyo fanya hima uanze kwani tayari kuna mwalimu mmoja wa chuo kikuu udsm tayari huu ni mwaka wake wa pili anafanya hii biashara unayo sema kwa kutumia vijana na wakati mwingine huenda front , na huyu ni wa pili kati ya ninao wafahamu....hujachelewa ila sio wakati tena wa maneno ila vitendo,nakuomba ndugu yangu achana na wanao kukatisha tamaa wewe songa mbele waonyeshe vitendo.Habari wana jF,
Mimi ni kijana baada ya kukaa sana mtaani bila kazi ya kueleweka japokuwa nina kijielimu kangu kutoka college moja hapa mjini nimeamua kuja na wazo langu la biashara kwa ajili ya kulifanyia kazi?
Lengo la kuweka uzi huu hapa ni kwa ajili ya michango ya kimawazo katika kuliboresha wazo hilo ambalo mimi au hata mtu mwingine anaweza akalitumia na likamtowa sehemu moja na kumpeleka sehemu nyingine.
Wazo lenyewe:
Kuuza Mboga za majani.
Ukiliangalia kwa haraka inaweza likaonekana ni wazo flani hivi la kipuuzi sana. Pia inaweza isikuingie akili kama kweli muhitimu wa chuo anaweza kufanya hiyo biashara. Lakini ndio wazo ambalo mimi nimekaa na kuja nalo.
Mchakato utakavyokuwa:
Jinsi nitakavyokuwa nafanya ni rahisi sana nitakuwa na nunua mboga za majani then nazikatakata halafu nazipaki kwenye vikontena. Ndani ya kikontena kimoja kutakuwa na mboga ya majani iliyooshwa taya na kukatwa katwa pia kutakuwa na kitunguu ambacho tayari kimeshakatwakatwa na pia kutakuwa na tangawizi ambayo tayari imeshasagwa.
Nb: Kitunguu na tangawizi kila kimoja kitakuwa kimehifadhiwa peke yake then vinawekwa ndani ya kikontena cha mboga ya majani. Bei nita idetermine kwa kutumia method inayoitwa Cost based price.
Usambazaji:
Njia ya usambazi nitakuwa nasambaza mimi mwenyewe kwa njia ya kutembea nyumba hadi nyumba. Yaani kwa kifupi nitakuwa nachagua mtaa wa kudeal nao kwa siku hiyo. Kama itakuwa ni Mikocheni maana yake nitachaguwa kimtaa cha ndani ya Mikocheni na kuuza biashara yangu. Then kwenye kila sehemu ninayouza biashara yangu nitaacha mawasiliano kwa ajili ya kumpelekea bidhaa kama ikitokea siku akiihitaji.
Changamoto nizionazo mpaka sasa ni kutokujuwa gharama halisi za package za plastiki ni shillingi ngapi itakuwa vizuri kama ukiweka na picha pamoja na bei zake kama unazifahamu.
Udhalishaji.
Nimepanga kama ikiwezekana kwa kila ninapoingia sokoni kuuza biashara yangu natakiwa kwenda sokoni na vikontena mia moja na kumake sure vikontena vyote vinaisha ndani ya siku moja.
Nakaribisha mawazo ya kujenga na hata wale wa kukejeli pia nawakaribisha maana naamini yule anayekukejeli au kukusema ndio anakujenga.
Karibuni sana wakuu